Madago
Senior Member
- Feb 7, 2009
- 117
- 9
Sikkujua kama unampima mtu (anaetarajiwa kuwa raisi) simply kwa kuwa naye anapendwa na watu wengi hata kama hao watu inajulikana fika "hawamjui" ipasavyo au kuna genge liko nyuma yake...being an 'insider' with connections you should have known better MMM. Otherwise, salute iko pale pale.