Ni wakati wa mabadiliko kama kitila alivyosema. Nakumbuka sana hata Kitila alikuwa anamtetea sana zzk pale ud-kiswahili. Niliwahi kumuuliza kwa nini zzk huwa anazumzia kugombea urais kila cdm inapokuwa na issue muhimu? mfn pale arumeru m. ni kutaka ku shift attention? Leo nimeona kitila kabadilika alipokuwa anatoa ufafanuzi wa makala yake aliposema "zzk kutangaza kugombea urais ni kosa la kimantiki na kitamaduni". Broadly speaking, kosa la timing. mfn, kama kuna uchaguzi kesho, zzk atazungumzia kugombea urais leo badala ya keshokutwa.