Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Mkuu Mzee Mwanakijiji weka hiyo Isha yako ya kubadilika kwasababu najua Kama mtu ataiprint lazima apate page 300Kama kuna mtu mwingine anataka kuniuliza swali kuhusu mtazamo wangu juu ya siasa za Tanzania (watawala au wapinzani) uliza tu. Usiniulize nimekunywa chai na nini!?
Last edited by a moderator: