Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,617
Kauli ya waziri wa Elimu na mafunzo ya Ufundi kuwa vijana wanaomaliza darasa la saba wataendelea moja kwa moja na kidato cha kwanza bila mchujo wa mtihani mara tu CCM ikipewa ridhaa mwaka huu imepatiwa changamoto na makundi mbalimbali katika jamii.Walimu na wanaharakati wameionya serikali kuacha kufanya majaribio kwenye elimu.
1. Mfumo huo utawagawa wanafunzi katika tabaka tawala na tabaka tawaliwa.
2. Mfumo huo utapunguza ushindani wa kitaaluma na kupunguza wataalam nchini.
3. Utafiti wa kina Rakesh unaonyesha kuwa nusu ya wanafunzi wanaomaliza darasa la saba hawawezi kusoma na kuandika hivyo ni bora mfumo wa sasa ukabireshwa kuliko kukurupukia mfumo huo wa Magembe.
1. Mfumo huo utawagawa wanafunzi katika tabaka tawala na tabaka tawaliwa.
2. Mfumo huo utapunguza ushindani wa kitaaluma na kupunguza wataalam nchini.
3. Utafiti wa kina Rakesh unaonyesha kuwa nusu ya wanafunzi wanaomaliza darasa la saba hawawezi kusoma na kuandika hivyo ni bora mfumo wa sasa ukabireshwa kuliko kukurupukia mfumo huo wa Magembe.