Wanasheria wabobezi wa mikataba wanajua siyo wengine wanadakia tu wakati tangu ahitimu hajahusika kwenye mkataba wa kimataifa hata mmojaPoints Muhimu kwenye mahojiano ya Profesa Assad pale Channel Ten kwenye kipindi cha Dira ya Uchumi
Hakuna Bandari Inayouzwa, ni uelewa mbaya tu wa watu. (Sikiliza zaidi)
Ukomo hauwekwi kwenye IGA, bali kwenye mikataba ya chini (Projects Agreements). (Sikiliza Zaidi)
Profesa Assad ametoa majibu mazuri kabisa, na huyu ndio Profesa wa kweli sasa, sio wale wengine akina Tibaijuka na Shivji, wachumia tumbo tu, Sikilizeni nondo kutoka kwa Prof.
View attachment 2712096
View attachment 2712097
View attachment 2712098
View attachment 2712099