LordJustice1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 2,263
- 530
Huyu Prof ukimwangalia kwa makini kwenye Mhadhara wa Katiba katika ITV leo anaonekana kuwatetea Wazanzibari badala ya ku-balance mambo:
Anadai kwamba eti kuongeza mambo ya Muungano, Wazanzibari waliokuwa kwenye kuongeza mambo ya Muungano "walikuwa hawaongei sana," na Karume alikuwa hajali! Sasa kama walikuwa hawasemi sana, mimi sioni tatizo, si wamekubaliana?
Hapa Prof Simwelewi kabisa, ni kama katumwa vile!
Anadai kwamba eti kuongeza mambo ya Muungano, Wazanzibari waliokuwa kwenye kuongeza mambo ya Muungano "walikuwa hawaongei sana," na Karume alikuwa hajali! Sasa kama walikuwa hawasemi sana, mimi sioni tatizo, si wamekubaliana?
Hapa Prof Simwelewi kabisa, ni kama katumwa vile!