Yutong moja bei yake linafika milioni 250Tupe bei zake
- YUTONG bus
- Scania bus
- FUSO Mitsubishi lorry X2
Sidhani kama magari hayo yana thamani ya bilioni na sioni mantiki ya thread hii, ati mtu katumia Ths 56 mil na kadenika ili asilipe 1 bil.
Logic inakataa.
Sasa naelewa kwanini wezi wengi na mafisadi wanangangania chama cha magamba!!
Mkuu ndo wenyewe basi. Vuta kumbukumbuku Mgogoro dayosis ya pare miaka ya 2000 sababu ilikuwa ni dhulma wanamwanga waliokuwa wanafanyiwa na wenzao wa Same
Mchaga kumdhulumu mpare mbona ni sawa kwani kuna mpare mjanja wa mchaga.Mfano ni huyo mzee na usomi wake kamkabidhi mtu gari na kadi sio ajabu bila maadishi na wakili wa kudhibitisha