Prof. Maghembe adhulumiwa mali ya bilioni !

Alafu huyu diwani mdhulumaji nadhani ni darasa la saba,hana sera zaidi ya kutumia hela kujinufaisha kisiasa.
 
salam wanabodi
mbunge wa jimbo la mwanga na waziri wa maji mh. Profesa jumanne abdala maghembe amedhulumiwa mali yenye thamani ya zaidi ya tsh bilioni moja na swahiba wake ambaye ni diwani wa kata ya shighatini mh. Enea mrutu.
Mali hizo ni mabasi makubwa ya kubebea abiria aina ya utong na moja aina ya scania yanayaofanya safari kati ya dar na arusha na malori mawili aina ya mitsubishi fuso ambayo kwa sasa mh. Ameyapeleka huko kahama . Mabasi (kirumo charo) ambayo mheshimiwa mbunge alikubaliana na mhe. Diwani kuwa kwa kuwa yeye (enea) ana kampuni ya mabasi anaomba kutumia jina la kampuni yake ya charo general supply ltd ili kufanya biashara hiyo kutokana na sababu za kiutumishi wake serikalini(kama mbunge na waziri). Ukichukulia status yake ya maisha hapa nchini haieleweki kwani alikuwa mtafiti huko malawi ndo akaja kugombea ubunge hapa mwanga tangu mwaka 2000.
Sakati hili lilianza baada ya mheshimimiwa eneah kutumia kiasi kikubwa cha fedha wakati wa kampeni za uchaguzi wa ccm kwenye jumuiya za wazazi, uvccm na chama kwenye nafasi ya mnec ambapo jumla ya tsh 56,000,000 zilitumika kama rushwa kwa wajumbe na kubahatika kushinda jumuiya ya uwt tena kwa mbinde na wizi mkubwa wa kura. Mh. Enea kwa sasa anatamba mtaani kuwa maghembe hana cha kumfanya kwani hawezi kwenda mahakamani kuhofia kuumbuliwa kuwa ni fisadi.
Naomba kuwasilisha.

Source: Mhudumu wa ofisi ya charo general supply na mimi mwenyewe
wewe ni mtengeti wa pasua au.unamfahamu mzee kanyika wa stand ya mboya?maghembe ubunge wake umekwenda na maji kamati ya ufundi imemkataa mwanga hizo kirumo coaster pia ni zake?
 
Natoa wito kwa wale watu wote ambao wamepewa mali za mafisadi na kuzinadikia majina ya kampuni zao wazitaifishe zote!! Hapo kisheria hata akienda mahakamani ni lazima aoneshe evidence!! Na kwa kuwa document ziko kwa jina lako basi kisheria ndizo document halali!!Kina PUMA mpo na wengine? Kina Millenium Hotel mpo? Kina ...... mpo? The list is endless!! Fanyeni kweli mnaotumiwa na hawa wezi.
 
we kama unamwandikisha m2 mali zako ili wewe usionekane mwizi lazma na wenzio wakudhulumu kwan cha m2 kitamu,kula lakin jua kuwa na vyako lazma viliwe
 
SALAM WANABODI
Mbunge wa Jimbo la Mwanga na Waziri wa Maji Mh. Profesa Jumanne Abdala Maghembe amedhulumiwa mali yenye thamani ya zaidi ya Tsh bilioni moja na swahiba wake ambaye ni Diwani wa Kata ya Shighatini Mh. Enea Mrutu.
Mali hizo ni mabasi makubwa ya kubebea abiria aina ya UTONG na Moja aina ya Scania yanayaofanya safari kati ya Dar na Arusha na malori mawili aina ya Mitsubishi FUSO ambayo kwa sasa Mh. ameyapeleka huko Kahama . Mabasi (KIRUMO CHARO) ambayo mheshimiwa Mbunge alikubaliana na Mhe. Diwani kuwa kwa kuwa yeye (enea) ana kampuni ya mabasi anaomba kutumia jina la Kampuni yake ya CHARO GENERAL SUPPLY LTD ili kufanya biashara hiyo kutokana na sababu za kiutumishi wake serikalini(kama mbunge na waziri). Ukichukulia status yake ya maisha hapa nchini haieleweki kwani alikuwa mtafiti huko malawi ndo akaja kugombea ubunge hapa mwanga tangu mwaka 2000.
Sakati hili lilianza baada ya Mheshimimiwa Eneah kutumia kiasi kikubwa cha fedha wakati wa Kampeni za uchaguzi wa CCM kwenye jumuiya za Wazazi, UVCCM na Chama kwenye nafasi ya MNEC ambapo jumla ya Tsh 56,000,000 zilitumika kama Rushwa kwa wajumbe na kubahatika kushinda Jumuiya ya UWT tena kwa mbinde na wizi mkubwa wa kura. Mh. enea kwa sasa anatamba mtaani kuwa maghembe hana cha kumfanya kwani hawezi kwenda mahakamani kuhofia kuumbuliwa kuwa ni fisadi.
naomba kuwasilisha.

SOURCE: MHUDUMU WA OFISI YA CHARO GENERAL SUPPLY NA MIMI MWENYEWE

Mkuu mbona hii kwa sisi magamba ni vijisenti tu
 
Enea mrutu ni katibu wa TABOA.....kamdhulumu prof. magembe safi sana.nimeyaona mabasi ya kirumo ya yutong.
 
unajua kitakachofuata? coz mahakaman maghembe hawezi shinda.

kuna mmbunge mmoja, simkumbuki jina, ila ilitokea dar kipindi cha Ben,

Mlinzi wake wa nyumban alimwona anatoka nje ya nyumba saa nae usiku kuonana na watu waliompigia sim,
baadae alisikia wanagombana................kisha akasikia PWAAAAAAAAAAAAAAAH!!!!!!!!!!!!
 
Natoa wito kwa wale watu wote ambao wamepewa mali za mafisadi na kuzinadikia majina ya kampuni zao wazitaifishe zote!! Hapo kisheria hata akienda mahakamani ni lazima aoneshe evidence!! Na kwa kuwa document ziko kwa jina lako basi kisheria ndizo document halali!!Kina PUMA mpo na wengine? Kina Millenium Hotel mpo? Kina ...... mpo? The list is endless!! Fanyeni kweli mnaotumiwa na hawa wezi.



Ushauri mzuri sana huu,na kwa kuongezea tu nawaambia wakati wanafanya hayo wawe wameshaandika urithi wa mgawanyo wa mali zao kabisa..
 
SALAM WANABODI
Mbunge wa Jimbo la Mwanga na Waziri wa Maji Mh. Profesa Jumanne Abdala Maghembe amedhulumiwa mali yenye thamani ya zaidi ya Tsh bilioni moja na swahiba wake ambaye ni Diwani wa Kata ya Shighatini Mh. Enea Mrutu.
Mali hizo ni mabasi makubwa ya kubebea abiria aina ya UTONG na Moja aina ya Scania yanayaofanya safari kati ya Dar na Arusha na malori mawili aina ya Mitsubishi FUSO ambayo kwa sasa Mh. ameyapeleka huko Kahama . Mabasi (KIRUMO CHARO) ambayo mheshimiwa Mbunge alikubaliana na Mhe. Diwani kuwa kwa kuwa yeye (enea) ana kampuni ya mabasi anaomba kutumia jina la Kampuni yake ya CHARO GENERAL SUPPLY LTD ili kufanya biashara hiyo kutokana na sababu za kiutumishi wake serikalini(kama mbunge na waziri). Ukichukulia status yake ya maisha hapa nchini haieleweki kwani alikuwa mtafiti huko malawi ndo akaja kugombea ubunge hapa mwanga tangu mwaka 2000.
Sakati hili lilianza baada ya Mheshimimiwa Eneah kutumia kiasi kikubwa cha fedha wakati wa Kampeni za uchaguzi wa CCM kwenye jumuiya za Wazazi, UVCCM na Chama kwenye nafasi ya MNEC ambapo jumla ya Tsh 56,000,000 zilitumika kama Rushwa kwa wajumbe na kubahatika kushinda Jumuiya ya UWT tena kwa mbinde na wizi mkubwa wa kura. Mh. enea kwa sasa anatamba mtaani kuwa maghembe hana cha kumfanya kwani hawezi kwenda mahakamani kuhofia kuumbuliwa kuwa ni fisadi.
naomba kuwasilisha.

SOURCE: MHUDUMU WA OFISI YA CHARO GENERAL SUPPLY NA MIMI MWENYEWE
Huu uzi ni kama umeandikwa na mtu aliyekuwa anatweta baada ya mbio ndefu za kukimbia kujiepusha na adhabu fulani na akasimamishwa ghafla aeleze alichoeleza. Namshauri mleta uzi atulie na kuandika vizuri alichokusudia tukijue wadau.
 
Mkuu japokuwa habari hii inaukweli fulani fulani kwa sababu watu hao ninawafahamu vizuri, lakini tupe ufafanuzi ni vipi Enea Mrutu ambaye ni mwanaumme mwenye umri wa zaidi ya miaka hamsini agombee UWT, UVCCM nk. tena kwa pamoja?

ni kambi hizo baba, wanakuaga na kambi zao ambazo zinajumuisha wing zote, na mtu akipiga kampeni/akihonga kwa ajili ya wagombea wote wa kambi yake,
 
SALAM WANABODI
Mbunge wa Jimbo la Mwanga na Waziri wa Maji Mh. Profesa Jumanne Abdala Maghembe amedhulumiwa mali yenye thamani ya zaidi ya Tsh bilioni moja na swahiba wake ambaye ni Diwani wa Kata ya Shighatini Mh. Enea Mrutu.
Mali hizo ni mabasi makubwa ya kubebea abiria aina ya UTONG na Moja aina ya Scania yanayaofanya safari kati ya Dar na Arusha na malori mawili aina ya Mitsubishi FUSO ambayo kwa sasa Mh. ameyapeleka huko Kahama . Mabasi (KIRUMO CHARO) ambayo mheshimiwa Mbunge alikubaliana na Mhe. Diwani kuwa kwa kuwa yeye (enea) ana kampuni ya mabasi anaomba kutumia jina la Kampuni yake ya CHARO GENERAL SUPPLY LTD ili kufanya biashara hiyo kutokana na sababu za kiutumishi wake serikalini(kama mbunge na waziri). Ukichukulia status yake ya maisha hapa nchini haieleweki kwani alikuwa mtafiti huko malawi ndo akaja kugombea ubunge hapa mwanga tangu mwaka 2000.
Sakati hili lilianza baada ya Mheshimimiwa Eneah kutumia kiasi kikubwa cha fedha wakati wa Kampeni za uchaguzi wa CCM kwenye jumuiya za Wazazi, UVCCM na Chama kwenye nafasi ya MNEC ambapo jumla ya Tsh 56,000,000 zilitumika kama Rushwa kwa wajumbe na kubahatika kushinda Jumuiya ya UWT tena kwa mbinde na wizi mkubwa wa kura. Mh. enea kwa sasa anatamba mtaani kuwa maghembe hana cha kumfanya kwani hawezi kwenda mahakamani kuhofia kuumbuliwa kuwa ni fisadi.
naomba kuwasilisha.

SOURCE: MHUDUMU WA OFISI YA CHARO GENERAL SUPPLY NA MIMI MWENYEWE

Wa Pare tangu lini wakadhulumiana?
 
Back
Top Bottom