Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Anayeamini Lipumba atakuja kuchaguliwa kwa kura za wananchi kwa ngazi yoyote ile aidha balozi wa nyumba 10 au zinginezo, basi huyo atakuwa mgonjwa na anahitaji kwenda Mirembe. Haitaji hata kwenda kwa Babu Ambi.