Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Ana punguza siku za kuishi bure kwa kuichukia chadema,...bora mda huu angeoa atulie
hivi huyu profesa wa tabora ana mtoto hata wa kusingiziwa?
Ana punguza siku za kuishi bure kwa kuichukia chadema,...bora mda huu angeoa atulie
Ana punguza siku za kuishi bure kwa kuichukia chadema,...bora mda huu angeoa atulie
You have nailed it, yeye kuukosa urais safari tano anafikiri hata kwa wengine ni hivyo hivyo.Unategemea mchumba wa CCM aseme Chadema watatawala nchi?! Han lolote huyo professa bwabwaja....wacha waendelee kuolewa na CCM
Sitarajii kukuaminisha kile ninachokiamini mimi, bali nahitaji mimi na wewe tuvitazame hivi vyama kwa undani... tuwatazame kwa makini hao wanaoviongoza.. kisha tuje na majumuisho na maamuzi kwa Tanzania ijayo kama vinatufaa kweli ama havitufai!!Upo wewe mwenyewe, kwa nini usubiri kudanganya watu wengine. Kama umeliona hilo, basi tupe facts ili nasi tuchanganye na za kwetu. Hayo maneno ulotumia hayajatufikishia ujumbe wowote ule. Hivyo si vema kutuaminisha kijumla jumla.
Usikate tamaa, nchi ni yetu sote ndo tutaibomoa au kuijenga
Ana punguza siku za kuishi bure kwa kuichukia chadema,...bora mda huu angeoa atulie
Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema anayeamini kuwa Chadema, kitatawala nchi hii atambue ni mgonjwa na anatakiwa kwenda kwa Mchungaji Mwasapile Ambilikile, maarufu kama Babu kupata kikombe cha dawa.
Akihutubia mkutano wa hadhara kwenye kiwanja cha soko la Mitumba, wilayani Muheza hivi karibuni, Profesa Lipumba alisema viongozi wa Chadema ni wafanyabiashara hawawezi kuongoza nchi. Kama kuna mwananchi yoyote Wilaya ya Muheza anaamini Chadema inaweza kuongoza nchi hii, basi huyo akanywe kikombe kwa Babu huko Loliondo, alisema Lipumba. Naibu Katibu Mkuu CUF, Julius Mtatiro, alisema CCM imewafikisha wananchi wanakula mlo mmoja kwa siku, huku watoto wakienda shuleni na njaa. Mtatiro alisema hali inazidi kuwa ngumu, lakini CCM ambayo imesababisha ugumu huo inaona kawaida vyakula kupanda bei.
Source: Mwananchi Machi 26, 2011
Nimekosa kabisa jina la kumwita huyu Lipumba. Ngoja niache tuu.
Unategemea mchumba wa CCM aseme Chadema watatawala nchi?! Han lolote huyo professa bwabwaja....wacha waendelee kuolewa na CCM
Profesa Lipumba ana matatizo makubwa mawili, kwanza akiwa anaongea ukiwa karibu naye shurti ujikinge na mwamvuli kwani kinywa chake kinanyesha mate. Pili ameathirika na utowashi kwani sasa unamfanya awe ******* mpaka kwenye ubongoTuiondoe Li tumwite Prof. Pumba.
SLAA-CUF inafadhiliwa na ccm kufanya mikutano ya kuishutumu cdm,cuf haiwezi kuwa chama cha upinzani,cuf ni chama popo,cuf haina uwezo wa kuongoza dola,
MBOWE- CUF ni mke wa ccm,cuf siyo chama cha upinzani,cuf ni ccm b, cuf ni wanafiki, cuf hawana mwelekeo,
LIPUMBA-Chadema ni chama cha wafanyabiashara na mafisadi nyangumi,chama cha wapiga disco,chama kisicho na uwezo wa kuwatoa watz kwenye umasikini,anayedhani cdm inaweza kuongoza nchi akanywe dawa ya babu loliondo,anaumwa.
Mtatiro- Tutajibu kila propaganda wanayosema cdm dhidi yetu, chama kinachotafuta dola hakiwezi kudhaminiwa na mafisadi(nyangumi) -sabodo,mengi na wenzie- siku kikipata dola kitawatumikia waliokifadhili,tutajibu hoja kwa kielelezo,propaganda kwa ukweli , mwisho wa siku ukweli utasimama,
MANENO YA VIONGOZI WENU HAYO,KATI YA HAO WOTE NANI MJINGA NO 1,2,3,4,
NANI MJINGA KULIKO WOTE,NANI TAAHIRA, NANI MJANJA?
.
Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema anayeamini kuwa Chadema, kitatawala nchi hii atambue ni mgonjwa na anatakiwa kwenda kwa Mchungaji Mwasapile Ambilikile, maarufu kama Babu kupata kikombe cha dawa.
Akihutubia mkutano wa hadhara kwenye kiwanja cha soko la Mitumba, wilayani Muheza hivi karibuni, Profesa Lipumba alisema viongozi wa Chadema ni wafanyabiashara hawawezi kuongoza nchi. Kama kuna mwananchi yoyote Wilaya ya Muheza anaamini Chadema inaweza kuongoza nchi hii, basi huyo akanywe kikombe kwa Babu huko Loliondo, alisema Lipumba. Naibu Katibu Mkuu CUF, Julius Mtatiro, alisema CCM imewafikisha wananchi wanakula mlo mmoja kwa siku, huku watoto wakienda shuleni na njaa. Mtatiro alisema hali inazidi kuwa ngumu, lakini CCM ambayo imesababisha ugumu huo inaona kawaida vyakula kupanda bei.
Source: Mwananchi Machi 26, 2011