Prof. Kitila Mkumbo: Tangu 2014 tulishakubaliana kuwa na Katiba Mpya, kilichobaki ni utekelezaji

IMG-20220109-WA0013.jpg

Bado huyu mzee wa majalala
 
"Tulishakubaliana kama nchi kuwa tunataka Katiba Mpya tangu mwaka 2014 ndiyo maana tukaanzisha mchakato wa Katiba na kupata Katiba inayopendekezwa, tunachopaswa kuzungumza kwa sasa ni nili tunaendelea na mchakato na siyo kurudisha mambo nyuma" Mbunge wa Ubungo Prof. @kitilam.


Ile rasimu ipo time barred kisheria. Ilitakiwa ipigiwe kura baada ya kupitishwa. Miaka nane yote imepita Ni kinyume Cha sheria unaoongoza mchakato huo.
 
Rais aliyeko madarakani anatumia ubovu wa katiba inayolalamikiwa kuendeleza ufalme aliopewa na katiba hiyo mbovu. Kwa maneno mengine isingekuwa hiyo Katiba yeye na wenzie wasingekuwa madarakani. Pili viongozi wengi 80% ni wanafiki na Wachumi tumbo. KWA maneno mengine, msingi wa uongozi Tanzania ni unafiki. Ndipo tulipo. KWA hiyo hii sampling ya Profs Kitila, Kabudi na Mwakyembe tells it all. Msishangae. Finally, Katiba inayotakiwa ni ile ya Wananchi, yaani ya Waryoba. Sasa ni wajibu wetu sote kuhakikisha hilo nimefanikiwa 100% bila kujali litatumia muda gani. Tusichoke. Zamani walikuwa wanaringia wingi bungeni, nk nk. Ni wazi kwamba hakuna uhalisia huo kwa sababu napakuwa na uchaguzi 2020. Ungekuwepo mngeshuhudia maajabu! Siku hizi wanaringia vyombo vya dola. For how long, God knows. Kikubwa tudai Katiba ya Warioba iliyobeba maoni ya watanzania.
 
ni hasira ya kuondolewa baraza la mawaziri.
Hapana siyo hasira; isipokuwa ni hekima tu inayumba kwa kiasi fulani na hiyo ndiyo iinaweza ikamsababisha akachafuka na kumwonyesha kama ana hasira kumbe hapana

Mtu kama ulikuwa tayari umeshakula kiapo na ukawa unashiriki vikao vya Baraza la Mawaziri, hutakiwa tena kuwa unazungumza zungumza huku nje kirahisi rahishi namna hiyo sawa kama watu ambao hawajawahi kabisa kuwemo kwenye Barazala Mawaziri. Hii hatari yake ni kwamba kuna siku atakuja kuponyokwa na kuongea mambo ambayo walishawahi kuyajadili kwenye Baraza la Mawaziri, na hapo ndiyo itakuwa taabu, kwa sababu hayo ndiyo aliyokula kiapo kuyatunza. Uwaziri haupo kwa sasa hivi, lakini kiapo kitaendelea kuwa pamoja na yeye maisha yake yote

Haya mambo ambayo ameshaanza kushughulika nayo mara anasikika kwenye uchambuzi wa BBC akiwa anaongelea decission za Serikali ambamo alikuwa akitumika, hata kama ni katika mlengo ambao ni positive kwa Serikali anayoiongelea, bado haifurahishi sana kwa mtu ambaye ameshakuwa Waziri. Unless kama ameshaanza kuangalia tena opportunity nyingine ya kurudi upinzani alikokuwa akitumika tangu awali
 
Hapana siyo hasira; isipokuwa ni hekima tu inayumba kwa kiasi fulani na hiyo ndiyo iinaweza ikamsababisha akachafuka na kumwonyesha kama ana hasira kumbe hapana

Mtu kama ulikuwa tayari umeshakula kiapo na ukawa unashiriki vikao vya Baraza la Mawaziri, hutakiwa tena kuwa unazungumza zungumza huku nje kirahisi rahishi namna hiyo sawa kama watu ambao hawajawahi kabisa kuwemo kwenye Barazala Mawaziri. Hii hatari yake ni kwamba kuna siku atakuja kuponyokwa na kuongea mambo ambayo walishawahi kuyajadili kwenye Baraza la Mawaziri, na hapo ndiyo itakuwa taabu, kwa sababu hayo ndiyo aliyokula kiapo kuyatunza. Uwaziri haupo kwa sasa hivi, lakini kiapo kitaendelea kuwa pamoja na yeye maisha yake yote

Haya mambo ambayo ameshaanza kushughulika nayo mara anasikika kwenye uchambuzi wa BBC akiwa anaongelea decission za Serikali ambamo alikuwa akitumika, hata kama ni katika mlengo ambao ni positive kwa Serikali anayoiongelea, bado haifurahishi sana kwa mtu ambaye ameshakuwa Waziri. Unless kama ameshaanza kuangalia tena opportunity nyingine ya kurudi upinzani alikokuwa akitumika tangu awali
Uko sahihi mkuu. Tatizo tulilonalo Tanzania lipo kwa nchi nyingi, hatuandai viongozi. Watu wanaokotezwa barabarani hata hawafanyiwi background check. .....ukiangalia track record ya kisiasa ya Kitila Mkumbo-usaliti aliowafanyia CHADEMA kisha ACT Wazalendo, ni wazi hakufaa hata kidogo kuwa katika baraza la mawaziri maana msaliti ye yote ni mvujisha siri.
 
Uko sahihi mkuu. Tatizo tulilonalo Tanzania lipo kwa nchi nyingi, hatuandai viongozi. Watu wanaokotezwa barabarani hata hawafanyiwi background check. .....ukiangalia track record ya kisiasa ya Kitila Mkumbo-usaliti aliowafanyia CHADEMA kisha ACT Wazalendo, ni wazi hakufaa hata kidogo kuwa katika baraza la mawaziri maana msaliti ye yote ni mvujisha siri.
Sasa haya mambo mengine ni madogo madogo muno, mtu unahitaji kujiongeza mwenyewe tu, na si kila kitu mpaka waje professionals waku-intervene; kwa sababu ukisema hivyo itabidi sasa hata namna ya uvaaji wa suti wakufundishe.
 
Mimi nadhani sote tuanaotaka Katiba Mpya tukubaliane kuanza na ile Katiba Pendekezwa ambayo inahitaji maboresho maeneo mengi then ikipelekwa kwa wananchi kupigiwa kura waikatae kwanza ifanyiwe maboresho kulingana na wakati wa sasa na wa baadae!
2014 hadi sasa ni miaka 8. Kuna mengi sana yamebadilika!
 
Hapana siyo hasira; isipokuwa ni hekima tu inayumba kwa kiasi fulani na hiyo ndiyo iinaweza ikamsababisha akachafuka na kumwonyesha kama ana hasira kumbe hapana

Mtu kama ulikuwa tayari umeshakula kiapo na ukawa unashiriki vikao vya Baraza la Mawaziri, hutakiwa tena kuwa unazungumza zungumza huku nje kirahisi rahishi namna hiyo sawa kama watu ambao hawajawahi kabisa kuwemo kwenye Barazala Mawaziri. Hii hatari yake ni kwamba kuna siku atakuja kuponyokwa na kuongea mambo ambayo walishawahi kuyajadili kwenye Baraza la Mawaziri, na hapo ndiyo itakuwa taabu, kwa sababu hayo ndiyo aliyokula kiapo kuyatunza. Uwaziri haupo kwa sasa hivi, lakini kiapo kitaendelea kuwa pamoja na yeye maisha yake yote

Haya mambo ambayo ameshaanza kushughulika nayo mara anasikika kwenye uchambuzi wa BBC akiwa anaongelea decission za Serikali ambamo alikuwa akitumika, hata kama ni katika mlengo ambao ni positive kwa Serikali anayoiongelea, bado haifurahishi sana kwa mtu ambaye ameshakuwa Waziri. Unless kama ameshaanza kuangalia tena opportunity nyingine ya kurudi upinzani alikokuwa akitumika tangu awali
Hizi ni dalili mbaya sana za woga!
Comrade wewe ni bonge moja la muoga!
Watu wa ndani wakikutonya yaliyo ndani amini wanachosema hata kama huwaamini.
 
Kitila
Bashiru
Polepole
Mwendakuzimu
Kalamaganda
Nduguyai
Walitaka waisuke CCM upya na kuwaacha nje wenye CCM Yao,. Tena wakawadhalilisha kwa kuwaita Lumumba.
Sasa CCM iko mikononi mwa wenye chama Chao.
MTU amejiunga na CCM 5/2/77 wewe uingie CCM 2015 utegemee kumfukuza uana chama??
 
Sasa haya mambo mengine ni madogo madogo muno, mtu unahitaji kujiongeza mwenyewe tu, na si kila kitu mpaka waje professionals waku-intervene; kwa sababu ukisema hivyo itabidi sasa hata namna ya uvaaji wa suti wakufundishe.
usaliti ni mental issue si rahisi kama inavyodhani. Na ndiyo sababu wasaliti wote si wa kuaminiwa
 
"Tulishakubaliana kama nchi kuwa tunataka Katiba Mpya tangu mwaka 2014 ndiyo maana tukaanzisha mchakato wa Katiba na kupata Katiba inayopendekezwa, tunachopaswa kuzungumza kwa sasa ni nili tunaendelea na mchakato na siyo kurudisha mambo nyuma" Mbunge wa Ubungo Prof. @kitilam.

Hehehe naona system imeanza kujireset baada ya kukaa bench na anajua 2025 Jimbo linachukuliwa na wenye chama chao yeye arudi kushika chaki.

Nakuona akianza kuitafuta kadi yake ya ACT mapema sana.
 
Back
Top Bottom