Prof. Kitila Mkumbo: Lowassa ameonyesha ujasiri wa hali ya juu!

Kuna ubaya gani uongozi wa juu ukatoka kaskazini sie chadema hatuna ubaguzi wa Kanda dini wala kijiji ukiwa unafaa unagombea uongozi
 
Ni vema kama oppossion members wanatoa good comments kwa Mabadiliko ya Kimbunga ya LOWASA kuhamia Chadema/ukawa

Yes ni comment nzuri ambazo hata supreme leader anatakiwa kuiga!
 
inakuwaje chama cha Chadema kinakuwa na uongozi wote wa ngazi za juu wote uwe ni wa kanda mmoja?

2010 mwenye kiti ccm alikuwa jk, katibu alikuwa makamba, mgombea mwenza alikuwa Bilal. hawa kanda gani na dini gani
 
Siasa za Tanzania angalau zitaenda kuamka maana ilishakuwa kama za chama kimoja!
 
Huo ni ukweli kabisa. Luna watu kama Sumaye walinyanyaswa wakaishia kulalama tuu lakini kuchukua maamuzi wanashindwa. Kwa nafasi aliyofikia uamuzi aliochukua ni ujasiri mkubwa na chama tawala kimedhalilika.

Muunganishe na pinda pamoja na bilal walipaswa watinge top five huyo ma-padlock alikuwa chini ya uongozi wao.
 
Acha uchochezi wewe !! Inaelekea ww ni mkabila ... Je unataka kutambika ??? Watu walioishiwa hoja mara nyingi hukimbilia kwenye ukabila au udini ! Kajipange upya !!
 
inakuwaje chama cha Chadema kinakuwa na uongozi wote wa ngazi za juu wote uwe ni wa kanda mmoja?

Hata wewe na familia yako yote mkiongoza vizuri wananchi wote tutawapenda na kuwapa kura zetu, shida ya wananchi si kabila bali ni maendeleo yao wanachi.
 
Katika hili Kitila Mkumbo umeanza kurudi katika mstari, BIG UP!
Kitila ni professor. kwa hiyo uelewa wake na wako ni tofauti. ndo maana wewe huwezi kumuelewa akienda hatua moja mbele kwa sababu akili zako ndogo. sijaona alichobadilika Prof. Kitila
 
inakuwaje chama cha Chadema kinakuwa na uongozi wote wa ngazi za juu wote uwe ni wa kanda mmoja?

Hata kama viongozi woote wa CHADEMA wangekuwa ni WANYATURU AU WAHEHE hio kwetu sio MJADALA maadamu wanalengo la kutufikisha sisi Wananchi kwenye HATIMA NJEMA,Basi,WANATUFAA SAANA.
 
inakuwaje chama cha Chadema kinakuwa na uongozi wote wa ngazi za juu wote uwe ni wa kanda mmoja?

Mlianza na udini, mkashindwa.
Mkaja na ukabila, mkashindwa.
Sasa mmekuja na ukanda, na hapa mtashindwa tu. Unajua makamu Mwenyekiti ni wa wapi?
 
Habari wanaukumbi!

Akihojiwa na BBC usiku huu katika dira ya dunia,mwanasiasa wa Chama cha ACT Prof.Kitila Mkumbo amesema Mh Lowassa ni mtu jasiri sana kutokana na kitendo chake cha kujiunga na upinzani.

Amesema Lowassa ni kiongozi aliyepitia misukosuko mingi ya kisiasa tangu mwaka 1995 pale jina lake lilipoondolewa bila sababu za kueleweka,na akajiuzulu uwaziri mkuu mwaka 2008 kwa sababu ambazo hazijawekwa wazi mpaka leo,Halafu amekuja kukatwa kwenye mbio za urais na CCM kimizengwe kwa hiyo amefanya maamuzi ya kijasiri sana kujiunga Chadema!

Ameongeza kwa kusema Mh.Lowassa amebadilisha kabisa upepo wa kisiasa kwa siku ya leo na ametikisa siasa za Tanzania kwa kiasi kikubwa kwa sababu ya umaarufu mkubwa aliojijengea tangu mwaka 1995.

Amesema alichokifanya Mh Lowassa ni ushindi mkubwa dhidi ya maadui zake.

BBC.

Huyo profesor wa ukweli au ni jina la utani, anashindwa kutofautisha upambanaji na mroho wa madaraka.!!!! Seriously!?
 
Back
Top Bottom