Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
Sidhani kama hii thread itaishi humu muda mrefu.
mbona bado upo????
Sidhani kama hii thread itaishi humu muda mrefu.
then wahusika wamemnyamazia tu,mtu ashajinasibuHawa majangili walisubiria huyu muuza unga mwenzao akimbie then ndio wajifanye ati tuna mkono mrefu.Juma Kapuya ni mmoja wa wauza unga maarufu nchini ndio wanaangamiza vijana njaa najua mtauliza niweke ushahidi lakini sihitaji Kwa sasa kwani Juma Kapuya mwenyewe alisema hivi''WATOTO WETU WANAUZA UNGA LAKINI HAKUNA WA KUWAKAMATA SIE NDIO SERIKALI BANA''
Waulizeni GPL na Shingongo wao binti aliye polisi ndio yule binti yao?
Kuwa gazeti la udaku si tiketi ya kupika uongo.Hawa GPL nao watashughulikiwa hasa huyo binti yao abanwe.
Mbona Kapuya hajaliburuza Tanzania Daima kwa pilato kama alivyotishia ? Kapuya usitishie kujamba wakati unaharisha