Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,011
Ah huyo kapuya miezi mi2 anafaya nini huko?
Who's the hell is sumaye?
Na ule uozo ulioandikwa na Mdaku Shigongo haukuuza! Hili jamaa kweli linatumika vibaya!
Mzee kapuya amemtowa Mmungu shukurani Hivi wewe mtu juu ya elimu uliyo nayo na wadhifa ulio nao una kwenda kutafuta vi Papa mkojo hata sura hawana wachilia mbali nywele bure ni khali mwanamke kama yule
Hivi unajua kwamba padri wa bonde la mpunga anayomgegeda josephine mshumbusi ile nayo ni zinaa? Zinaa haina chama.Uzinzi unawatafuna CCM!!!
hata shetani hamuamini shigongo ! Itakuwa binadamu ? Hivi kuna great thinker anasoma magazeti ya shigongo ?
Hivi unajua kwamba padri wa bonde la mpunga anayomgegeda josephine mshumbusi ile nayo ni zinaa? Zinaa haina chama.
Umenena jambo muhimu sana.Huyo kashauliwa na CCM atoroke! Halafu habari zitakuja kwamba amefariki kama ilivyokuwa kwa Balali! CCM ni chama kilichooza!!!!
Tena ngoja tuwatip askari wa Interpol,mahali ambapo wanaweza kumkamata kirahisi Balali,ni nchini Uswisi,ambako tunaambiwa account yake binafsi,ingali ipo active,ambapo muhusika huyo huwa anakwenda kuwithdraw yale mabilioni yaliyofichwa na vigogo wa nchi hii,yeye Balali akiwa miongoni mwa hao walioficha mapesa hayo huko!!Kama kweli wana mkono mrefu wamkamate Daudi Balali kwanza.
humjui sumaye , waziri mkuu kwa miaka 12 ? Ila unamjua lowasa waziri mkuu miaka 2 ! Sitaki kuamini bhana .