Prof Jay na Vincent Nyerere kutikisa Musoma Mjini Jumapili 05 Julai, 2015

Hadithi haiendani na uhalisia ni kama club soda isiyokuwa na radha,huu ushauri waambie FISIEM kule ndo kuna vibaka

Chama kina miaka 23 mpaka leo hakina ofisi bado kimepanga, hata mtu alieanza maisha kipindi kile leo anaishi kwake, chama cha wala ruzuku tu wamejilimbikizia mali na majumba mpaka Dubai ila chama kimepanga vichochoroni mtaa wa mateja nyuma ya makaburi na chimbo la dada poa kisa tu nyumba ya Mtei.
 
Rich Pol

Nahisi ukichaa unakusumbua hadi akili zako zimeganda.

Dunia nzima hakuna wezi kama masisiemuu....tena mnawaibia wananchi masikini wasio na chochote...wanakufa kwa kukosa dawa hospitali, hawapati Maji, hawajui watapata wapi mlo wa siku lakini bado mnawaibia??? Hii ni laana kuu na haitakaa iwatoke.

Kilio cha wengi kinafika mbali na hivyo mjiandae kwa pigo kuu kwa laana hiyo.
 
Wee Rich Pal ni zuzu kweli kweli: unasema CDM ina miaka 23 inapanga ofisi?
Ccm wamejenga ofisi zipi?kwakutumia hela za nani? Viwanja kama CCM kirumba etc mmevitoa wapi? Tueleze.

Miaka zaidi ya 50 lakini watanzania hali yao ikoje chini ya utawala wenu...

Laana ina kutafuna wewe...----! Usinitie hasira ndorobo wewe....
 
Chama kina miaka 23 mpaka leo hakina ofisi bado kimepanga, hata mtu alieanza maisha kipindi kile leo anaishi kwake, chama cha wala ruzuku tu wamejilimbikizia mali na majumba mpaka Dubai ila chama kimepanga vichochoroni mtaa wa mateja nyuma ya makaburi na chimbo la dada poa kisa tu nyumba ya Mtei.

We kichwani msondo ngoma
 
Rich Pol

Nahisi ukichaa unakusumbua hadi akili zako zimeganda.

Dunia nzima hakuna wezi kama masisiemuu....tena mnawaibia wananchi masikini wasio na chochote...wanakufa kwa kukosa dawa hospitali, hawapati Maji, hawajui watapata wapi mlo wa siku lakini bado mnawaibia??? Hii ni laana kuu na haitakaa iwatoke.

Kilio cha wengi kinafika mbali na hivyo mjiandae kwa pigo kuu kwa laana hiyo.

Wee Rich Pal ni zuzu kweli kweli: unasema CDM ina miaka 23 inapanga ofisi?
Ccm wamejenga ofisi zipi?kwakutumia hela za nani? Viwanja kama CCM kirumba etc mmevitoa wapi? Tueleze.

Miaka zaidi ya 50 lakini watanzania hali yao ikoje chini ya utawala wenu...

Laana ina kutafuna wewe...----! Usinitie hasira ndorobo wewe....

Hiyo ya Lumumba ni yako? Eti anawaibia wananchi, wananchi ni pamoja na wewe haya niambie za kwako ulizoibiwa ni ngapi? Acheni kudanganya wananchi hizo ndizo siasa za uongo. Eti mnatetea wananchi ni kulinda maslahi yake kama kweli ni kweli Slaa anapokea 14M kwa mwezi halafu alikuwa anamlipa Kagezi laki 3 huo ndiyo usawa? Acheni uongo Ikulu wataisikia tu wacha wale ruzuku tu.
 
Hiyo ya Lumumba ni yako? Eti anawaibia wananchi, wananchi ni pamoja na wewe haya niambie za kwako ulizoibiwa ni ngapi? Acheni kudanganya wananchi hizo ndizo siasa za uongo. Eti mnatetea wananchi ni kulinda maslahi yake kama kweli ni kweli Slaa anapokea 14M kwa mwezi halafu alikuwa anamlipa Kagezi laki 3 huo ndiyo usawa? Acheni uongo Ikulu wataisikia tu wacha wale ruzuku tu.
Hizo ofisi za Lumumba zimejengwa chini ya mfumo wa vyama vingi au chama kimoja?
Kama zimejengwa chini ya mfumo wa vyama vingi ni haki ya ccm kuendelea kuzihodhi maana watakuwa wanazimiliki kihalali. Lakini kama zilijengwa chini ya mfumo wa chama kimoja zilitakiwa ziwe ofisi za serikali na si chama kwa sababu zilijengwa na wananchi wote ambao kwa sasa wengine ni wapinzani na wengine hawana vyama. Kitu chochote kilichokuwa chini ya mfumo wa serikali ya chama kimoja kilitakiwa kukabidhiwa serikalini ili kila chama kianze upya kabisa na kujitegemea.
Ndiyo maana bado wigo wa demokrasia Tanzania haujakua kwa sababu kuna chama ambacho bado kimejifungamanisha na dola na kujikuta kikihodhi madaraka yote. Ni ajabu kiongozi wa chama asiyekuwa na cheo serikalini kutoa amri kwa watumishi wa serikali ambao hawawajibiki kwake. Wakuu wa mikoa na wilaya wanapaswa kuwa watumishi wa serikali na siyo serikali na chama. Watu hawa utakuta ni wajumbe ndani ya halimashauri kuu ya chama. Siyo sahihi hata kidogo. Inatakiwa wawe watumishi wa serikali mambo ya chama yafanywe na watu wengine. Ndiyo maana ccm haitaki kujitengamanisha na dola kwa sababu wanajua wakijitengamanisha tayari wanapokonywa madaraka
 
Chama kina miaka 23 mpaka leo hakina ofisi bado kimepanga, hata mtu alieanza maisha kipindi kile leo anaishi kwake, chama cha wala ruzuku tu wamejilimbikizia mali na majumba mpaka Dubai ila chama kimepanga vichochoroni mtaa wa mateja nyuma ya makaburi na chimbo la dada poa kisa tu nyumba ya Mtei.
Kipi bora kati ya kuwa na ofisi ya kupanga na kusambaza ujumbe kwa wananchi chama kikajulikana? Wangejenga ofisi halafu wasieneze sera za chama nchi nzima ingesaidia nini? Mimi naona suala la ofisi siyo ishu. Ishu ni chama kwanza watu wakijue then majengo yatakuja baadae. Naona katika hili la kukieneza chama chadema wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa na ndiyo maana uchaguzi wa serikali za mitaa wameshinda maeneo mengi. Je wangekuwa busy kujenga ofisi hivyo viti vya serikali za mitaa wangevipata?
 
Ujio wa professor Jay Kuja Musoma mjini pamoja Mhe Vincent j Nyerere mbunge wa Musoma mjini.Jumapili mapokezi na mkutano mkubwa wa hadhara na kikaoo cha ndani, pia kuwapongeza madiwani wa Halmashauri kwa kazi kubwa na nzuri waliyofanya kwa kipindi cha miaka mitano waliokuwa madarakani hii sio ya kukosa wakazi wote wa Musoma Mjini.

Hiyo inaitwa amsha amsha
 
Karibuni sana Mara na Musoma, Waheshimiwa! Twendeni mbele kwa Jamhuri yetu ya Tanzania iliyo njema na bora. Wenzetu wameweza wana nini na siye tushindwe tumekosa nini?
 
Mbunge wa Musoma Mjini Mhe. Vincent Nyerere na Mtangaza nia Jimbo la Mikumi Mr Joseph Haule (a.k.a) Profesa J watakuwa na Mkutano wa hadhara hapa Musoma Mjini katika viwanja vya shule ya msingi Mukendo siku ya Jumatatu tarehe 6/7/2015 kuanzia saa tisa mchana hadi saa kumi na mbili jioni.

Mada kuu katika mkutano huu ni kwa Mbunge kuwashukuru wananchi wa Musoma Mjini kwa ushirikiano mkubwa waliompa katika kipindi cha miaka mitano na ataainisha mafanikio ya Jimbo la Musoma katika kupindi chake na changamoto mbele yetu.

Wakazi wote wa Mjini Musoma na vitongoji vya karibu mnaalikwa kumsikia Mbunge wenu akiwa na Mbunge Mtarajiwa, Profesa J katika kuainisha sera bora za kutuletea maendeleo na maisha bora kwetu sote na kwa vizazi vyetu.
 
Vizuri sana Makamanda, kikieleweka mapema mkoani Mara kitaeleweka vyema Tanzania nzima!
 
Back
Top Bottom