Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,429
- 1,045
Bwana alitoa, na Bwana ametwaa, jina la Bwana na lihimidiwe. Amen
Mungu awape ujasiri na faraja familia ya marehemu na watanzania wote tulipata kumfahamu Prof. H. Othman
Kwa moyo wa majonzi na uliopondeka natoa salamu maalum kwa Omary Ilyas. Najua Prof. alikuwa role model wetu sote hasa mimi na wewe.
Mungu awape ujasiri na faraja familia ya marehemu na watanzania wote tulipata kumfahamu Prof. H. Othman
Kwa moyo wa majonzi na uliopondeka natoa salamu maalum kwa Omary Ilyas. Najua Prof. alikuwa role model wetu sote hasa mimi na wewe.