Mbona hata hatukusikia kama alikuwa mgonjwa? ....
Kwani lazima usikie, ukisoma kwamba hadi jana midnight alikuwa na afya njema na kuhudhuria sehemu sehemu na kwamba amefariki usingizini haitoshi?
Ulitaka kwenda kumjulia hali mnazi mmoja hosp kwanza ndo usikie habari za kifo?
Saida mpweke.