Kama kuna institution ambayo sina imani nayo ni BOT
1. Kwanza wanaongoza kwa kutoa statistics feki kila wakati za uchumi kukua na inflation kupungua ..
2. Wanaongoza kwa kutoa ajira pendelevu .utashangaa watu wanaajiriwa BoT kila kukicha, ila hakuna matangazo yoyote ya vacancies ambazo tumeshawahi kuziona kwenye vyombo vya habari husika Je inakuwaje private companies watangaze, hii benki yetu isitutangazie??? Je wanawapataje waajiriwa wao??? How competent are they??
1. Kwanza wanaongoza kwa kutoa statistics feki kila wakati za uchumi kukua na inflation kupungua ..
2. Wanaongoza kwa kutoa ajira pendelevu .utashangaa watu wanaajiriwa BoT kila kukicha, ila hakuna matangazo yoyote ya vacancies ambazo tumeshawahi kuziona kwenye vyombo vya habari husika Je inakuwaje private companies watangaze, hii benki yetu isitutangazie??? Je wanawapataje waajiriwa wao??? How competent are they??