Prof.Benno Ndullu kafanya maajabu BOT!!

Hahaha, kumbe Waziri wetu wa fwedha kasoma Almeda University - USA.... Masalaleeee... Aibu tupu. Inakuaje sisi wadanganyika tukubali kutambua qualifications za watu wanaosomea uko US wakati serikali ya US imetoa tamko la wazi kwamba hawakitambui hiki chuo? Ama kweli sisi wadanganyika wote ni mambumbumbu.

Mimi naomba niwaulize wana jamboforums... Hivi hawa ndugu zetu wa usalama wa taifa huwa hafafanyi background checks kabla mtu hajapewa madaraka makubwa kama haya? Ni aibu sana kuona kwamba mtu anapewa madaraka ya uwaziri wa pesa wakati ana degrees za uongo.. Je mtamwaminije mtu kumpa madaraka yote hayo wakati yeye vyeti vyake ni bomu? This automatically Disqualifies him for his current post. Hayohayo yalijitokeza kwa waziri wqetu wa zamani wa Sheria. Hivi hadi waziri wa Sheria naye haoni aibu kubandika qualifications feki? Hivi haoni aibu kuitwa "DR" wakati yeye anafahamu kwamba she doesn't deserve to be called a Dr?

Hii Almeda University (according to Wikipedia - http://en.wikipedia.org/wiki/Almeda_University) ni unaccredited American University founded in 1997.

In Connecticut: According to the Connecticut Department of Higher Education, Almeda was ordered to cease operating in Connecticut in October, 2001. After an investigation in 2002 indicated that Almeda was continuing to advertise its programs in Connecticut, the Department of Higher Education sent Almeda a second cease and desist letter and referred the issue to the Connecticut Attorney General for possible legal action.

In Florida: In 2003 the Florida Department of Education made an agreement with Almeda to cease operating in the state. Although Floridians can still get a degree from the online university, Almeda warns Floridians that its degrees may not be valid for public employment in Florida.

In Texas: Almeda is also on the Texas list of "Fraudulent or Substandard Institutions", making it illegal to use an Almeda degree in Texas in an advertisement; to get a job, promotion, raise, license, or to get admitted to an educational program or to gain many positions in government.

Other states: Almeda's website also warns Almeda degrees may not be valid for public employment in Illinois, Oregon, New Jersey, North Dakota, Washington and Idaho.

Hivyo basi, mimi nafikiri waziri wetu wa fedha alitoa tamko la namna ile sio kwamba kafanya makusudi kuwadanganya wadanganyika ila ni kwa sababu haelewi what he was talking about. Mimi sio mchumi, ila mtu aliyeenda Almeda University kujifunza MBA hawezi kunidanganya kirahisi kwa kutumia materials za Almeda.

Duh!!!!

Mazee angalia pia thread yenye heading 'The case against Mustapha Mkullo' started by Game Theory kuna madudu mengine ya aibu kushinda hili if you thought this was the worst of it all.

The worst is yet to come.
 
Hahaha, kumbe Waziri wetu wa fwedha kasoma Almeda University - USA.... Masalaleeee... Aibu tupu. Inakuaje sisi wadanganyika tukubali kutambua qualifications za watu wanaosomea uko US wakati serikali ya US imetoa tamko la wazi kwamba hawakitambui hiki chuo? Ama kweli sisi wadanganyika wote ni mambumbumbu.

Mimi naomba niwaulize wana jamboforums... Hivi hawa ndugu zetu wa usalama wa taifa huwa hafafanyi background checks kabla mtu hajapewa madaraka makubwa kama haya? Ni aibu sana kuona kwamba mtu anapewa madaraka ya uwaziri wa pesa wakati ana degrees za uongo.. Je mtamwaminije mtu kumpa madaraka yote hayo wakati yeye vyeti vyake ni bomu? This automatically Disqualifies him for his current post. Hayohayo yalijitokeza kwa waziri wqetu wa zamani wa Sheria. Hivi hadi waziri wa Sheria naye haoni aibu kubandika qualifications feki? Hivi haoni aibu kuitwa "DR" wakati yeye anafahamu kwamba she doesn't deserve to be called a Dr?

Hii Almeda University (according to Wikipedia - http://en.wikipedia.org/wiki/Almeda_University) ni unaccredited American University founded in 1997.

In Connecticut: According to the Connecticut Department of Higher Education, Almeda was ordered to cease operating in Connecticut in October, 2001. After an investigation in 2002 indicated that Almeda was continuing to advertise its programs in Connecticut, the Department of Higher Education sent Almeda a second cease and desist letter and referred the issue to the Connecticut Attorney General for possible legal action.

In Florida: In 2003 the Florida Department of Education made an agreement with Almeda to cease operating in the state. Although Floridians can still get a degree from the online university, Almeda warns Floridians that its degrees may not be valid for public employment in Florida.

In Texas: Almeda is also on the Texas list of "Fraudulent or Substandard Institutions", making it illegal to use an Almeda degree in Texas in an advertisement; to get a job, promotion, raise, license, or to get admitted to an educational program or to gain many positions in government.

Other states: Almeda's website also warns Almeda degrees may not be valid for public employment in Illinois, Oregon, New Jersey, North Dakota, Washington and Idaho.

Hivyo basi, mimi nafikiri waziri wetu wa fedha alitoa tamko la namna ile sio kwamba kafanya makusudi kuwadanganya wadanganyika ila ni kwa sababu haelewi what he was talking about. Mimi sio mchumi, ila mtu aliyeenda Almeda University kujifunza MBA hawezi kunidanganya kirahisi kwa kutumia materials za Almeda.

Duh!!!!

Mazee unaongea kama Kikwete na uongozi wake wana nia seriously ya kuitoa nchi katika matatizo lakini wanashindwa kwenye mambo kama ya kuteua watu wenye sifa nzuri hivi.

The truth ni kwamba Kkwete anagawa vyeo kama ahsante kwa watu wake waliompigia kampeni na kumchangia.Na probably watakaomsaidia kuiba na kuficha wizi uliotokea, ndiyo maana watu kama Mkullo na ma scandal yote na degree ya Almeida wanaweza kuwa pale Wizara ya Fedha.

Kikwete ni mtu wa network kichizi, tena ni mjeshi anayejua nini maana ya intelligence, akitaka dossier ya mtu yeyote kwenye uongozi Tanzania anaipata siyo dossier tu, bali mpaka ile iliyonyumbulisha nyumba ndogo na uchafu wa kila aina, sasa sitaki kuamini kuwa Kikwete kamchagua Mkullo bila kulijua faili lake.Kamchagua kwa sababu wote lao moja.Mafia style.

Kwa taarifa tu kuna mtu kashapewa taarifa ma Prof. Msolla kuwa issue ya Mawaziri wenye vyeti feki ilishapelekwa kwa Kikwete tangu kabla ya reshuffle, rais kaikalia na kibaya zaidi kawateua tena hao hao vihiyo kina David Mathayo, kina Emmanuel Nchimbi, kina Mkullo.

Ni kama vile anakwambia "utafanya nini?"
 
"""je tutafika??? hawa viongozi wanatakiwa waanze kujua kwamba wananchi kwa sasa wana uelewa wa hali ya juu sana....shauri zao..kauli zitawatokea puani......
 
Mimi sidhani hata kama kuna haja ya kucomment katika hii topic . I can't imagine this guyz are trying to politicize everything , so what should we expect if financial institutions are manipulating data. Does these people understand anything about global economy ? They are bragging that they have cut down inflation , where are the figures ?
 
What a load of s..t, this guy doesn't even deserve to be a district commisioner. Sources say, he has been hunting for this post for a long time, if he had to kill for this post then he would have done just that. Kikwete, hapa pia umechemsha au unalako jambo..do something before its too late, na hao wabunge, SHAME!
BOT: EXCHANGE RATES:
Effective on 17 Mar 2008 TSh
Currency
Australian $ 1095.81
Swedish Kronor 198.19
UAE Dirham 322.44
[Kenya S 17.00 ]
Uganda Shs 0.71
S. Africa Rand 144.00
USD 1183.77
Pound STG 2383.81
EURO 1876.21
Switz. Franc 1213.31

Hizi ni rates kutoka BOT kwenyewe. Ebu angalia Euro inavyokaribia shilingi 2000, mwezi January ilikuwa takribani shs.1600 tu. Paund ya mwingereza ndio usiseme!
Au chunguza what is happening to kenyan money against our shilling
 
..sasa tuseme Waziri Mkullo hafahamu kinachoendelea?

..au labda anajua kinachoendelea, lakini kaamua kuwapiga-fix hao wabunge.

..reaction ya wabunge kuhusu hizi taarifa za Waziri Mkullo ni nini?

..WHY??!!

Unaweza usiamini, lakini hakika nakwambia inawezekana kabisa Mkullo hajui kwamba kuimarika kwa shilingi dhidi ya dola ya Marekani kunatokana na matatizo ya kiuchumi yaliyotokea Marekani, na wala si kwa kuwa uchumi wa Tanzania unakua na shilingi kuimarika.

Nchi hii kuna viongozi wa ajabu sana. Nakumbuka kisa kimoja kilitokea kwenye NGO moja hivi inayotoa misaada (grants) kwa NGO ndogondogo. Kati ya NGO hizo, mojawapo ilikuwa inaongozwa na Waziri wa Fedha wa zamani wa Zanzibar. Huwezi kuamini yule Waziri wa zamani alipopokea cheki, ambayo imeandikwa kwa jina la ile NGO yake na wenzake, alikwenda nayo benki moja kwa moja kutaka ku-withdraw pesa siku ile ile, tena akiwa peke yake bila kuwa na "signatories" wengine.

Alipokataliwa, akapiga simu kwenye ile NGO iliyomwandikia cheki kulalamika kwamba kwa nini watu wa benki hawataki kumlipa wakati yeye ndiye kiongozi wa ile NGO, na hizo pesa ana shida nazo sana kabla hajarudi Z'bar. Kila mtu pale ofisini alishangaa.

Fikiria mtu aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha hajui hata taratibu za kuchukua pesa benki!!!!

Msishangae Mkullo akawa kadanganywa na Ndullu, kwamba eti Ndullu kafanya maajabu ndani ya miezi mitatu na shilingi imeimarika dhidi ya dola ya Marekani.
 
BOT: EXCHANGE RATES:
Effective on 17 Mar 2008 TSh
Currency
Australian $ 1095.81
Swedish Kronor 198.19
UAE Dirham 322.44
[Kenya S 17.00 ]
Uganda Shs 0.71
S. Africa Rand 144.00
USD 1183.77
Pound STG 2383.81
EURO 1876.21
Switz. Franc 1213.31

Hizi ni rates kutoka BOT kwenyewe. Ebu angalia Euro inavyokaribia shilingi 2000, mwezi January ilikuwa takribani shs.1600 tu. Paund ya mwingereza ndio usiseme!
Au chunguza what is happening to kenyan money against our shilling


Kama hizi ndio rate za kweli kwa hakika Shilingi imeimarika... against.. South African Rand , Against Kenyan Shilling, hata Pound; Nakumbuka SA Rand ilikuwa 180, sasa 144, Kenyani Sh. 18 hadi sasa 17, Pound ilikuwa 2500 sasa 2388... Lakini kwa hakika against Euro.. ni tofauti... lakini inaeleweka wazi kwamba Euro imeimarika sana...

Ila kwa hakika mimi sikuangalia immediately baada ya Ndulu kuajiriwa... nimeangalia kwa muda wa miezi sita au mwaka mmoja uliopita
 
Unaweza usiamini, lakini hakika nakwambia inawezekana kabisa Mkullo hajui kwamba kuimarika kwa shilingi dhidi ya dola ya Marekani kunatokana na matatizo ya kiuchumi yaliyotokea Marekani, na wala si kwa kuwa uchumi wa Tanzania unakua na shilingi kuimarika.
.

Kwa hili sio kweli, ikumbukwe wazi kwamba huyu bwana alikuwa bosi wa NSSF. Na kama kuna ambaye alikosea kama kweli hana uwezo ni huyu aliyempa Ukurugenzi wa NSSF... kwa mimi ni rahisi kuwa mwanasiasa kulikuwa kuwa mkurugenzi wa shirika la Umma.
 
Mkulo umelogwa au unamashetani yanakusumbua kichwani?Kwanza haya maneno naamini hujatumwa na Ndullu ila ni yakwako tu,umeyebumba tu ili kuwadanganya hao wabunge.Wewe Mkulo unaishi Tz ipi mpaka ukatoe taarifa za uongo,udhibiti wa mfumuko wa bei mlioudhibiti ni upi wapuuzi nyie.Problem ni kwamba Mkulo hapiti vituo vya mafuta kuangalia huo mfumuko wa bei na sokoni hupajui,au huo mfumuko wa bei mnaouongelea ni upi jamani.Hivi ni kweli kwa nyakiti kama hizi ambazo watz tunapandishiwa bei kila kukucha then anatokea chizi eti tumethibiti mfumuko wa bei kama sio ukichaa.(IPO SIKU YENU INAKUJA NA WALA HAIKO MBALI KAMA MNAVYOFIKILIA)

Hivi nyie mawaziri mnatuona waTZ wote tuko chekechea,hii ndio maana yake kwamba nyie ndio magraduate na haki zote za nchi hii ziko mabegani mwenu,yaani mimi siwaelewi.JK hawa watu unawatoa wapi mbona wanatuletea vitu vya ajabu?

Waziri unaongea na wabunge then unatoa taarifa batili,eti shilingi imepanda thamani kuliko dollar,Mkulo unajidanganya mwenyewe na familia zako,taarifa yako sisi tumeikataa niyakinafiki tu.Kwa lipi mlililofanya hadi shilingi ipande thamani.Eti mmeongeza Export,Mkullo aseme ni kitu gani au zao gani limekua exported katika kipindi ambacho Ndulu ameingia madarakani kama sio uongo.

Na hao wabunge waliokubaliana na wewe kama hukuwapa mlungula kwanza then ni mambumbumbu kwa kushindwa kuliona hili na wakakupigia makofi.
 
Hivi nchi imekosa mawaziri wa fedha? Au ni JK ndiye anaweka marafiki wake ambao hawana uwezo.

Nafikiri huyu mheshimiwa hafai kuwa waziri wa fedha kama ambavyo mama aliyepita pia hakufaa.

Nafikiri JK ana matatizo makubwa sana kwenye uteuzi wa wasaidizi wake. Hayo ndio matatizo ya cronysm, nikune leo nami kesho nitakukuna.
 
This is bull-shit. You cant raise any countries economy overnight. If this was practical 98% of countries would be super first world (excluding Tanzania). We need facts and not words.
 
Hivi nchi imekowasa mawaziri wa fedha? Au ni JK ndiye anaweka marafiki wake ambao hawana uwezo.

Nafikiri huyu mheshimiwa hafai kuwa waziri wa fedha kama ambavyo mama aliyepita pia hakufaa.

Nafikiri JK ana matatizo makubwa sana kwenye uteuzi wa wasaidizi wake. Hayo ndio matatizo ya cronysm, nikune leo nami kesho nitakukuna.

Nafikiri hapa kuna zaidi ya ya kulindana. Tatizo ni uwezo wa kufanya maamuzi wa mheshimiwa mwenyewe!
 
Wandugu hizi ni mean exchange rates as per the BOT website for the dates shown:

Exchange Rates for 28/Mar/2008

USD 1240.25
Pound STG 2489.30
EURO 1958.41
Canadian $ 1219.99
Switz. Franc 1247.79
Japanese YEN 12.42
Kenya SHS 19.42
Uganda SHS 0.74

Exchange Rates for 29/Oct/2007

USD 1156.92
Pound STG 2378.57
EURO 1668.74
Canadian $ 1207.07
Switz. Franc 995.54
Japanese YEN 10.13
Kenya SHS 17.27
Uganda SHS 0.66

Huyu waziri wetu kilaza anasemaje?? Hivi hana statistics?? Haoni kwamba Tshs inaanguka tu tena kwa currencies zote including hiyo USD??? Hata pamoja na kuanguka kwa USD in the world market, we still dont have an economy to benefit from its downfall.

Mkulo acha uongo.....and next time before u speak, please look for the facts.
 
Wandugu hizi ni mean exchange rates as per the BOT website for the dates shown:

Exchange Rates for 28/Mar/2008

USD 1240.25
Pound STG 2489.30
EURO 1958.41
Canadian $ 1219.99
Switz. Franc 1247.79
Japanese YEN 12.42
Kenya SHS 19.42
Uganda SHS 0.74

Exchange Rates for 29/Oct/2007

USD 1156.92
Pound STG 2378.57
EURO 1668.74
Canadian $ 1207.07
Switz. Franc 995.54
Japanese YEN 10.13
Kenya SHS 17.27
Uganda SHS 0.66

Huyu waziri wetu kilaza anasemaje?? Hivi hana statistics?? Haoni kwamba Tshs inaanguka tu tena kwa currencies zote including hiyo USD??? Hata pamoja na kuanguka kwa USD in the world market, we still dont have an economy to benefit from its downfall.

Mkulo acha uongo.....and next time before u speak, please look for the facts.

Mie nimesha ogopa hata kutoa comments zangu .Kama anaongea haya Gavana sasa nitasemaje ? Maana wanadhani bado wa TZ tuko gizani .
 
Kuna watu wanamaliza hapo mlimani na ni vichwa kweli kweli ila hawa mabazazi wanaopata ruzuku za wazazi wao na kupelekwa kusoma nje wakirudi hapa hupewa nyadhifa za juu ,ndio wanaoliangusha Taifa hili la Tanzania ,wengi wanaotokana na mipeleko hii ya vigogo ni vichwa maji huwezi kuwashindanisha na watu masikini ambao wamesomea vibatali na kufanikiwa kufika mlimani na hapo wakatikisa kikweli kweli lakini wanapotafuta nafasi za kazi hupigwa chenga na kutupwa nje ,nahisi inahitajika vijana wanaojitahidi katika fani mbali mbali hapo mlimani wawe wanaajiriwa moja kwa moja Serikalini katika fani wanazosomea ili kuepuka hawa vihio wanaovamia mambo ya watu.
 
SHAME ON YOU MKULLO! MUOGOPE MUNGU, AT LEAST DO YOUR HOMEWORK. Usiendelee kututia aibu wananzania. Ni kwa vile kuna utaratibu tofauti wa kuwajibisha viongozi, hasa wakiongea pumba- otherwise ujinga kama huu unadhihirisha ulivyo kiazi na hivyo unatakiwa uachie ngazi mara moja!
 
Mie sikuhizi nahisi kizunguzungu. Hii ingekuwa USA waziri angejiuzulu kwa kuwa na uwezo mdogo.

Ila Bongo rukhsa kuwa mbumbumbu wa wizara unayoongoza!
 
Pundit, Mtanzania nice analysis.
Tanzania iko kwenye currency crisis. Kama nchi ina trade defecity kubwa kama Tanzania how come hela yao iwe ina appriciate? Economy sio gari kwamba ukikanyaga pedal ya mafuta then linaongeza speed. Economy take time before it react.

Action gani hasa BoT wamechukua kufanya shilling iapriciate more? What are the measures? Did we increase export and decrease import? Did we reduce government spending and impose regilation that will make our people save more?

Are we naive kuamini ya kwamba shilling itaongezeka thamani bila kufanya lolote?
Lilo toke ni dollar inaanguka kwa speed ya rocket, and that caused currency nyingi kuappriciate versus the dollar. Sasa unapokuja waziri mzima kwenye bunge na kulopoka kwamba Ndulu is the man, what a jock.

I will tell you this, ili kuangalia kama fedha yetu itapanda thamani in the future, serikali inabidi wakontrol ile inflation rate iliyoko kwenye double figure, then inabidi serikali kupitia bank kuu itake over interest rate kwa kukontrol how max the bank can charge. Then i think inabidi tususpend BoT na kuanzisha Board of Currency kwa muda ambayo itasaidia kucontrol money supply.

Other than that, we have a long way to go. Mkulo (Mr MBA fake) is far away from the truth. People in Kariakoo and Mburahati faced the truth already. Yeye alikuwa analalia fedha za wazazi wetu pale NSSF, then akafanya stupid investment kwenye unliquidity investment. Sasa ndio ana control cash, what a nightmare.
 
Back
Top Bottom