Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
Hivi sheria za kesi za namna hii hazina kipengele kinachoilazimisha mahakama kutoa kopi ya hukumu? Ni lazima si si lazima? Kama ni wajibu wa mahakama kutoa kopi hiyo, ni muda gani?
Ikiwa si lazima na/au sheria haisemi chochote kuhusu hilo, basi hili ni bao la kisigino, CDM ijipange kulirejesha jimbo kupitia uchaguzi.
Ikiwa ni lazima na kuna muda uliowekwa kwa mahakama kutoa kopi hiyo, hapa kuna kesi ndani ya kesi. CDM ifungue kesi mpya kuishtaki mahakama.
Wazo binafsi linalowakilisha wengi - Nchi hii inaogozwa kijombajomba.
Ni wajibu, ni lazima na ni haki.