Wanajamvi hebu nisaidieni hli swali kwa kuchagua jibu sahihi.
Hukumu ya kesi ya uchaguzi iliyomvua ubunge Godbless Lema wiki mbili iliyopita hadi sasa nakala yake imeshindwa kutolewa, sababu hasa ni ipi?
a) Printer ni mbovu
b) Jaji amepata kigugumizi kwa dhambi aliyoifanya
c) Rushwa inahitajika ili kutoa nakala
d) Mahakama imechanganyikiwa kwa maombi ya kufunga ya Lema
e) (b) na (d) ni sahihi.
Hukumu ya kesi ya uchaguzi iliyomvua ubunge Godbless Lema wiki mbili iliyopita hadi sasa nakala yake imeshindwa kutolewa, sababu hasa ni ipi?
a) Printer ni mbovu
b) Jaji amepata kigugumizi kwa dhambi aliyoifanya
c) Rushwa inahitajika ili kutoa nakala
d) Mahakama imechanganyikiwa kwa maombi ya kufunga ya Lema
e) (b) na (d) ni sahihi.