snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,215
- 1,656
Kuna Thread niliwahi zungumzia juu ya Apps hizi scam za Mikopo.
Sasa Leo tujaribu kuangalia kwa upande wa matapeli wa tuma kwenye namba hii ambalo ni gang kubwa na wanafunikwa na kivuli Cha wakubwa.
Kama nilivyowahi kueleza kuwa
Apps za Mikopo kama vile PesaX, Msafi, Twiga Loans n.k hizi apps zinakusanya taarifa za watumiaji, hata kama hawajapewa mikopo.
Na watumiaji wamekuwa wakikubali permissions wanazoombwa na apps hizi, ikiwemo contact, calls, messages na storage access, kwahiyo data zikiwa on hizi apps Zina upload kwenye server zao taarifa za muhusika zote, ikiwemo calls, sms n.k
Sasa matapeli wanaojiita tuma kwenye namba hii Kuna namna wanaweza kuwa Wana access ya data kutoka kwenye hizi apps,
Mfano unapochat na mtu kuhusu kutumiana pesa hizi apps zinachukua taarifa na kuweza kufanya middlemen attack kwa kutumia namba nyingine ili tu utume pesa na wapite nazo.
Sasa Bado hatujui kama wamiliki wa hizi apps baadhi Yao ndio gang hii kubwa au ni watu gani,
Hivi Sasa kama mnavyoona baadhi Yao usipolipa deni wanatuma sms na upigia watu wako uliokuwa ukiwasiliana nao.
Sasa hebu imagine uhalifu wanaoufanya Hawa watu unavyoweza athiri watu kisaikolojia, Leo hii umewakopa elfu 50 afu wanamtumia sms mama yako mzazi kule kijijini kuwa wewe ni tapeli, mama yako atajiskia vipi si atahisi hata kidogo kitu ulichokuwa unatumia vyote ni wizi.
Bado Kuna haha ya TCRA kuwabana Hawa watu.
snipa
Sasa Leo tujaribu kuangalia kwa upande wa matapeli wa tuma kwenye namba hii ambalo ni gang kubwa na wanafunikwa na kivuli Cha wakubwa.
Kama nilivyowahi kueleza kuwa
Apps za Mikopo kama vile PesaX, Msafi, Twiga Loans n.k hizi apps zinakusanya taarifa za watumiaji, hata kama hawajapewa mikopo.
Na watumiaji wamekuwa wakikubali permissions wanazoombwa na apps hizi, ikiwemo contact, calls, messages na storage access, kwahiyo data zikiwa on hizi apps Zina upload kwenye server zao taarifa za muhusika zote, ikiwemo calls, sms n.k
Sasa matapeli wanaojiita tuma kwenye namba hii Kuna namna wanaweza kuwa Wana access ya data kutoka kwenye hizi apps,
Mfano unapochat na mtu kuhusu kutumiana pesa hizi apps zinachukua taarifa na kuweza kufanya middlemen attack kwa kutumia namba nyingine ili tu utume pesa na wapite nazo.
Sasa Bado hatujui kama wamiliki wa hizi apps baadhi Yao ndio gang hii kubwa au ni watu gani,
Hivi Sasa kama mnavyoona baadhi Yao usipolipa deni wanatuma sms na upigia watu wako uliokuwa ukiwasiliana nao.
Sasa hebu imagine uhalifu wanaoufanya Hawa watu unavyoweza athiri watu kisaikolojia, Leo hii umewakopa elfu 50 afu wanamtumia sms mama yako mzazi kule kijijini kuwa wewe ni tapeli, mama yako atajiskia vipi si atahisi hata kidogo kitu ulichokuwa unatumia vyote ni wizi.
Bado Kuna haha ya TCRA kuwabana Hawa watu.
snipa