ndio maana hela zetu wanataka tusichukue hadi tutakapostaafu
ndio maana hela zetu wanataka tusichukue hadi tutakapostaafu
Nakumbuka kuna cku nilienda ubalozi wa korea ckumbuki ni jengo gani kuchungulia nje nilipata kizunguzungu na kujiona tyr nimeanguka chini cjui ni phobia au ushamba naogopa majengo marefu duhSiku moja nilienda kumtembelea jamaa yangu pale GOLDEN JUBILEE TOWER anafanyakazi DSE. Aisee ofisi yake ghorofa ya 18-20 sikumbuki vizuri, ina view moja balaa! Ukiwa huko juu unaona viwanja vya Gymkhana na bahari tu....view ya maana!
Masahihisho ni LAPFHamna jinsi... hata kama watahamia Dodoma bado investment kama hizi zitaendelea kubaki Dar es salaam! NSSF wamejenga shopping mall kubwa Mwanza lakini hadi kesho wanaitia wapangaji... now what about Dodoma ambayo is far less compared to Mwanza!!
Ubalozi wa Korea ,office zao zipo jengo la Golden jubilee towersNakumbuka kuna cku nilienda ubalozi wa korea ckumbuki ni jengo gani kuchungulia nje nilipata kizunguzungu na kujiona tyr nimeanguka chini cjui ni phobia au ushamba naogopa majengo marefu duh
Shukrani mkuu kwa kunikumbushaUbalozi wa Korea ,office zao zipo jengo la Golden jubilee towers
Nafikiri ni humo humo, KOICANakumbuka kuna cku nilienda ubalozi wa korea ckumbuki ni jengo gani kuchungulia nje nilipata kizunguzungu na kujiona tyr nimeanguka chini cjui ni phobia au ushamba naogopa majengo marefu duh
I see! Nilidhani ni za NSSF zile! Thank for correctionMasahihisho ni LAPF
Siku nimeenda kwenye mgahawa mmoja kule juu; nilipotoka tu nikatengeneza kibubu kwa ajili ya Penthouse za 711@Kawe ingawaje hata 1M moja haijafika!Siku moja nilienda kumtembelea jamaa yangu pale GOLDEN JUBILEE TOWER anafanyakazi DSE. Aisee ofisi yake ghorofa ya 18-20 sikumbuki vizuri, ina view moja balaa! Ukiwa huko juu unaona viwanja vya Gymkhana na bahari tu....view ya maana!
Siku nimeenda kwenye mgahawa mmoja kule juu; nilipotoka tu nikatengeneza kibubu kwa ajili ya Penthouse za 711@Kawe ingawaje hata 1M moja haijafika!
Guys, hata kama zote zishachukuliwa plz msiniambie manake nitakuwa totally disappointed!
HAPANA, Ni Group Six WanajengaEstim construction company Ltd walianza mwanzoni mwa mwaka 2016
Group six wanajenga NSSF mzizima towers ya posta wanaojenga PPF towers Ni ESTIM kampuni ya wahindiHAPANA, Ni Group Six Wanajenga
Estim Construction company LimitedAiseeee.Kampuni gan imechukua tenda hyo? Na mpk sasa mda gan umetumika kutengeneza,?
CC wew unaesoma
Osaka na Tokyo Japan ni miji ambayo iko kwenye very prone area to earthquakes, tena matetemeko ya maana sio hivi vidogo vya huko kagera au Dodoma. Licha ya hayo wameweza kujenga majengo marefu zaidi ya hilo la ppf, matetemeko yanapiga ila hayaanguki, tena vinaanguka vinyumba vidogo huku kwetu.Halafu ule ni ukanda wa ma tetemeko kuna foreshocks nyingi sana kuna tetemeko linakuja kubwa
Sawa sawa, uko sahihi kabisa.Japan wana maghorofa ya kufa mtu licha ya kuwa ukanda mbovu kabisa kwa matetemeko ya ardhi.
Pumbavu ni wewe hapo fara Mkubwa, unaejifanya you know everything and your thoughts are correct.We mpumbavu kweli manake usingekuwa mpumbavu ungefahamu hoja hapo sio TBA bali maagizo ya kisiasa ambayo yamefanya UDSM Hostels kupata cracks chini ya 1 year na wajenzi wakiwa hao hao TBA.
160+Huo urefu sija-quote Wikipedia. Bad enough natumia cm and am on trip kwahiyo cwez tafuta source. Na kwenye source wameweka into ft ambayo in meters ni 133.XX na hiyo 135 nimefanya approximation
We ni lipumbavu tu shenzi taipu!!! Eti najifanya I know everything; wapi nime-claim najua kila kitu? Ju'ha weweePumbavu ni wewe hapo fara Mkubwa, unaejifanya you know everything and your thoughts are correct.
Kwa iyo kama hoja sio TBA ni maagizo ya ki Siasa, ulitaka TBA wapewe maagizo ya hiyo kazi na nani ili kwako wewe pumbavu isiwe siasa.
Kama ni +160 basi as of now kwa Dar hana mpinzani!!!160+
Architech mwenyewe kasema
MzizimaKama ni +160 basi as of now kwa Dar hana mpinzani!!!