PPF commercial tower Sam Nujoma road litakuwa jengo refu zaidi Afrika Mashariki

hawahitaji maagizo ya kisiasa bali wafanye professionally,kazibeni ss exp joint,hayo maagizo ndio yamepelekea kujenga airport ya kutua popo na bundi chato,mpanda,n hayo hayo yanafanya mnajenga electric sgr kwenda kubeba mawese na magunia ya dagaa kwa matrion ya shilling,and many more white elephant projects,stupid mind kabisaa
Kwani airport imejengwa na tba.
Alafu unajichanganya sana, sijui ni shallow mind, my goodness. Unasema hawahitaji maagizo ya kisiasa Bali wafanye professionally, my question is, ulitaka TBA wapewe maagizo na nani ili kazi yao ifanyike professionally.
 
Hapa kuna tatizo la ubinafsi, ambalo limeenda juu mpaka kwa rais.

Ingawa kwa rais wetu tatizo kubwa linaweza kuwa ujinga zaidi ya ubinafsi.

Uchumi wetu si mmoja.

Kuna anguko kubwa la uchumi linakuja, lakini watakaoumia ni wafanyakazi wanaowekeza hela kwenye hiyo mifuko ya mafao, wanasiasa na wakubwa wa biashara wengine waliojipanga vizuri watapeata, kwa hivyo, hawatakubali kwamba kuna anguko linakuja, kwao uchumi utapanda na watakupa "facts and figures" zote zinazoonesha kuna ukuaji mzuri wa uchumi.
Kuna nyepesi nyepesi kwamba, Muswada umeandaliwa kwenye mifuko ya jamii.

Kwanza mifuko yote kuungwanishwa na kubaki miwili.

Pili mstaafu hata pokea gawio /Fao lake lote, atapewa 28% ya fao lake na baada ya hapo atakuwa analipwa mshahara wake kama ulivyo mpaka anakufa.

Sasa hapa unambiwa watumishi sijui wataliamsha popo?
Kuna Kanali mstaafu nimemweleza kaniambia kama ni kweli basi Wanajeshi hawatakubali, babda excuse iwe kwenye vyombo hivyo vya dola, vinginevyo watamuondoa asubui na mapema kabla hajasaini
 
Kwani airport imejengwa na tba.
Alafu unajichanganya sana, sijui ni shallow mind, my goodness. Unasema hawahitaji maagizo ya kisiasa Bali wafanye professionally, my question is, ulitaka TBA wapewe maagizo na nani ili kazi yao ifanyike professionally.
Akili kama teethstick,nimekwambia wanatakiwa kufanya kazi kwa weledi kadiri ya kanuni na miongozo ya fani ya kihandisi,kwani miaka yote walikuwa wanapewa maagizo ya kujenga kadiri ya pesa anazotaka mwanasiasa? blah blah zingine peleka chato huko
 
Kuna nyepesi nyepesi kwamba, Muswada umeandaliwa kwenye mifuko ya jamii.

Kwanza mifuko yote kuungwanishwa na kubaki miwili.

Pili mstaafu hata pokea gawio /Fao lake lote, atapewa 28% ya fao lake na baada ya hapo atakuwa analipwa mshahara wake kama ulivyo mpaka anakufa.

Sasa hapa unambiwa watumishi sijui wataliamsha popo?
Kuna Kanali mstaafu nimemweleza kaniambia kama ni kweli basi Wanajeshi hawatakubali, babda excuse iwe kwenye vyombo hivyo vya dola, vinginevyo watamuondoa asubui na mapema kabla hajasaini
Ule waraka wa jeshi unatisha sana kuliko watu wanavyouchukulia kirahisi rahisi tu.
 
n

Ni ushamba tu na ulimbukeni wa wahandisi uchwara ndio walikuwa wanasingizia matetemeko Dom na Mbeya,,kwa mara ya kwanza NHIF wamejenga jengo la gorofa 10 mbeya na tulikuwa tunaambiwa mwisho 3,mbona Arusha iko ukanda mmja na Dom na kuna majengo ya hadi 15floors..mara ooh water table xjui matetemeko,stupid kabisaa
Ni kweli mbeya ndio walikua wakikataa kabisa kwamba jengo lisizidi floor 3 au 4 kama sikosei. Sasa sijui elimu yao na ya wenzao huko ughaibuni ni tofauti au vipi.
 
Akili kama teethstick,nimekwambia wanatakiwa kufanya kazi kwa weledi kadiri ya kanuni na miongozo ya fani ya kihandisi,kwani miaka yote walikuwa wanapewa maagizo ya kujenga kadiri ya pesa anazotaka mwanasiasa? blah blah zingine peleka chato huko
Kuna siku nilikuwa nasikiliza BBC World Service, kipindi cha Business Report.

Walikuwa wanamuhoji CEO mstaafu wa Ethiopian Airlines.

Wakamuuliza, siri ya mafanikio makubwa ya Ethiopian Airlines ni nini? Mbona Airlines nyingi Africa zina fail lakini Ethiopian wanafanikiwa?

Akasema kuna mambo mengi, lakini, kikubwa ni kwamba, wanasiasa wanewaachia Ethiopian Airlines wafanye biashara bila kuingiliwa kisiasa katika maamuzi.

Wanasiasa kuingilia maamuzi ya kibiashara ni moja ya sababu zinazoua biashara mara nyingi sana. Mifuko yetu ya mafao imeshaingiliwa vibaya sana kwa kuwekeza fedha kisiasa bila hata idhini ya waliochangia fedha hizo.

Fedha nyingi hazirudishiki. Hakuna controls. Zimewekezwa katika madaraja yasiyorudisha fedha kibiashara na majengo ambayo hayana demand. Kisiasa.

Halafu ukimwambia mtu wanasiasa kuingilia biashara ni jambo baya anakuuliza nani aingilie kama si wanasiasa?

Hizi attitudes ni moja ya sababu hatuendelei.
 
Hii ni misiba.. halafu mnafurahia.. hizi ni pension za watu zinapigwa tikitaka.. na haya magorofa yenu mtakuja kutokwa jasho la damu. Numbers never lie.

Haya majengo ya pension funds yanakosa optimality ya cost-benefit analysis which means future expected returns ni ndogo mno na itachukua mda. Msichekelee, haya mambo mtakuja kuyaona impact yake miaka 30-40 ijayo
 
Hii ni misiba.. halafu mnafurahia.. hizi ni pension za watu zinapigwa tikitaka.. na haya magorofa yenu mtakuja kutokwa jasho la damu. Numbers never lie.

Haya majengo ya pension funds yanakosa optimality ya cost-benefit analysis which means future expected returns ni ndogo mno na itachukua mda. Msichekelee, haya mambo mtakuja kuyaona impact yake miaka 30-40 ijayo
Wenzenu wanapiga hesabu za miaka 10 ijayo ya maisha ya watanzania,nyie mnaleta uchawi humu.

Hivi unajua mji huu unakua kwa kasi kiasi gani???unajua watu wanazaliwa wangapi kwa siku moja tu wakazi wa dar pekee???unajua wataishi wapi???
 
Nimehesab mimi nimepata 37 na juu kabisa ya 38 sio pana sana
Picha ya mleta mada ni ya zaman
Sure kuna jamaa na yeye alihesabu akaona ni 37
7baf81884446084050008e14e20ff328.jpg
 
Back
Top Bottom