Mchekechoni
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 279
- 19
Like many other fellow citizens,I received a string of sms on my mobile in the last week of the ended campaign, such as follows; 1)."Slaa ni mropokaji na mgomvi anatukana vyombo vya ulinzi na usalama. Anataka damu imwagike ili mradi aingie Ikulu. Tumkatalie kuigeuza nchi yetu Somalia." 2).".... Hana uwezo wala sifa ya kuwa Rais. Tumuepuke Slaa kama Ukoma. Tusidanganyike." and on the last night of the campaign from the President (himself?) "Mimi Jakaya M. Kikwete. Nakutumia meseji hii kukuomba kura yako kesho. Katika miaka mitano iliyopita, umenipa heshima kubwa ya kuwa Rais wa nchi yetu. Nakuomba unipe tena heshima ili niendelee...." sasa weweee ulipataga hizo msg, na ukafanyage...teh teh teh.!