...vip wewe ni muhanga katika hili??utujuze.
Mmh haya bwana kama waweza kuvumilia fupa la kitimoto kwenye tigo yako, basi vumilia tu na kupopobaliwa.
Jamani wadau wenye ushuhuda mbona hamjitokezi mkatupa habari hizi kwa undani?
dogo umekua na akili siku hizi...huko chuoni unachukua degree ngapi,?
mwenyeji wetu mwenyewe kala kona!..
Ngoja tumsubiri huenda anakusanya data, akipata za kutosha atamwagika tu.
Teh teh teh moja tu kaka, watu bwana eti wajiwekee fupa sa wanakuwa wamekwepa nini.
Nasikia dawa yake ndogo unachukua mfupa wa nguruwe unauingiza kwenye tigo haji kabisa
Makubwa!!Mh! Hii dawa sijui kama inaruhusiwa. Mi naona dawa halisi na ya uhakika ni kupuuza habari hizi.
Makubwa!!
Isije ikwa ndo unampanulia njia
Makubwa!!
Isije ikwa ndo unampanulia njia
hebu mwacheni mjamaa wa watu..kajeruhiwa ndo kaja kusema hapa ili jioni yasijemkuta!...
Popobawa kaibukia Pemba anawatesa sana watu usiku.
watu wanasema mzee ruksa aliwahi kutoa ushuhuda
From what i know ni kwamba the DUDU akishakuchakachua kijitigo kako lazma utangaze otherwise atakuwa akikujia tena kula mzigo...
HOPEFULLY BINGWA NDO UNATUTANGAZIA ILI ASIJE TENA KUKUB*ND*A