Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 755
jamani how comes serikali ikachukua mapato bila kutoa receipt? Polisi wameanzisha process za kutoa ID kwa wafanyakazi wa ndege, kwa mtanzania unatoa 13,000 na foreigners $25+11000 lakini pesa hizo zote ukitoa hupewi receipt.....huu ni wizi...nimetoka mida hii hapa Polisi Arusha na hawatoi receipt jamani weizi hawa!