Polisi wavamia ufunguzi wa Tawi la ACT Wazalendo ukiongozwa na Zitto Kabwe

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,814
11,991
Polisi Wilaya ya Tunduru wamevamia shughuhuli ya Ufunguzi wa Tawi la Chama cha ACT Wazalendo katika kijiji cha Namwinyu, Jimbo la Tunduru Kaskazini.

Ufunguzi huo wa Tawi ni sehemu ya ziara ya Kiongozi wa chama, Zitto Kabwe katika Mikoa mitatu ya Kusini.

ACF05323-2173-41E2-8E8F-B3EA7C3CECD5.jpeg
A7EDC57B-3197-4528-91D0-D1B294B9BF54.jpeg
88145768-F9B6-4530-BC08-AC11ABF6A652.jpeg
DE22F643-341A-46F5-8324-1B5C4768082B.jpeg
 
Polisi Wilaya ya Tunduru wamevamia shughuhuli ya Ufunguzi wa Tawi la Chama cha ACT Wazalendo katika kijiji cha Namwinyu, Jimbo la Tunduru Kaskazini.

Ufunguzi huo wa Tawi ni sehemu ya ziara ya Kiongozi wa chama, Zitto Kabwe katika Mikoa mitatu ya Kusini.

View attachment 2417526View attachment 2417527View attachment 2417528View attachment 2417529
Zitto kawa mdogo kama piriton, Zitto usizibe masikio, ukirafikiana na chatu, kaa ukijua kuna siku atakumeza
 
Back
Top Bottom