sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 645
Jeshi la polisi limedaiwa kufanya tena mauaji,mugumu mkoani mara ambapo safari hii,askari wa kituo cha mugumu wilayani serengeti wamedaiwa kumuua Nyitamboka Mwita(28)kwa kumpiga risasi akiwa nyumbani kwake kwa madai yakuwa ni jambazi.