Daniel Anderson
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 872
- 141
Taarifa inayotolewa sasa hivi kutoka Dodoma zinasema kuwa kumetokea vurugu kubwa kati ya jeshh la polisi na CDA dhidi ya wananchi. Tafrani hiyo inatokana na bomoabomoa. Wananchi wanajiapiza kuwa CCM ni mwisho.
Source: WAPO FM patapata.
Source: WAPO FM patapata.