Mzee wa fund
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 514
- 89
Usiandike habari za polisi,Tumewasusia.
Hivi wewe ni Zomba au Zomboko?
Make naona akili yako kama jina lako 'Zomboko'
Usiandike habari za polisi Tumewasusia mkuu.Nikisoma popote palipo andikwa polisi ninamkumbuka mwangosi.
Usiandike habari za polisi,Tumewasusia.
akili za mwingine changanya na zako utapata jibu sahihi
Mkishindwa hoja mnaanza viroja.
Ni kweli viongozi wengi wa serikari ya Kikwete wanaakili kama za huyu Zomba. Hawa ndo wanafanya mambo ya Kishenzi, wanauza nchi yetu hivihivi, hata Gadaff alikuwa nakiburi kama hawa jamaa lakini at the end waliingiziwa mambo kwenye hayo wanyotumia kufikilia.. Anauzi sana huyu chiziUnajuwa kuna watu obvious huwa wapo negativity xo we just take easy ila tumekupata kaka.