Head teacher
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,796
- 411
Kutokana na migomo ya walimu, na baadae wafanyakazi wote wa serikali na binafsi kupinga sheria kandamizi ya mifuko ya jamii, ni wazi kwamba msitu wa mabwepande utakuwa na ugeni kila iitwapo leo. Natoa wito kwa serikali kufunga cctv camera kubaini watekaji wa viongozi wa maandamano na migomo.