vvm
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 6,311
- 10,353
Kufuatia operesheni ya kukamata plate number za 3D, habari kutoka vyanzo visivyotaka vitambulike ni kuwa, camera za polisi zile maarafu kwa kuwakamata wadaiwa sugu wa traffic fines!
Zinashindwa kutambua plate number za 3D na hivyo kuisababishia jamhuri ya muungano wa Tozo kukosa mapato yake ya TRA ndogo aka wazee wa pesa kidogo za Brush.
Je, ni sahihi kuua ajira za maelfu ya vijana wajasiriamali waliojiongeza na kutengeneza 3d plate numbers au polisi walipaswa kutafuta camera bora zaidi kutokana na mabadiliko ya teknolojia?
Anyway mimi sina Gari wacha tuendelee kuitazama serikali ya mama inavyopambana na Tozo zake...
Zinashindwa kutambua plate number za 3D na hivyo kuisababishia jamhuri ya muungano wa Tozo kukosa mapato yake ya TRA ndogo aka wazee wa pesa kidogo za Brush.
Je, ni sahihi kuua ajira za maelfu ya vijana wajasiriamali waliojiongeza na kutengeneza 3d plate numbers au polisi walipaswa kutafuta camera bora zaidi kutokana na mabadiliko ya teknolojia?
Anyway mimi sina Gari wacha tuendelee kuitazama serikali ya mama inavyopambana na Tozo zake...