niwazi kabisa vijana wa chadema ndo walio muua kijana ally muislam mwenzetu.hii ni mara ya pili kwa muislam kufa ktk maandamano ya cdm. Cdm imehusika iwaeleze wananchi
ni ngumu sana kumkabidhi fisi bucha au zizi la mbuzi hatutaweza kupata suluhu hadi tume huru ya mahakama
Wameua wao, wamechunguza wao na wanatoa ripoti wao! Tafakari!
Wameua wao, wamechunguza wao na wanatoa ripoti wao! Tafakari!
Nimeona katika Channel Ten polisi wametoa ripoti kwamba marehemu Ally aliyeuawa katika maandamano ya Chadema Morogoro amefariki kutokana na kugongwa na kitu kizito sio risasi, hiyo ni baada ya uchunguzi wa madaktari
Wameua wao, wamechunguza wao na wanatoa ripoti wao! Tafakari!
IKnashangaza sana, na ni katika nchi hii tu hilo laweza kutokea!! Jana RPC wa Moro, Faustine Shigolile alipora majukumu ya taaluma ya kimadactari na kuamua kuwatangazi Watz matokeo ya uchunguzin wa kifo (autopsy) cha kijana Ally.
Ndiyo -- Watanzania tumefikishwa hapa -- fani ya udaktari inaendelea kutukanwa na kunyanyasaw na jeshi la polisi kwa niaba ya serikali ya CCM -- kana vile ya Mabwepande hayakutosha!!
Na taaluma nzima ya udaktari na Watz wote kwea ujumla wanatakiwa kukubali hii outrage!
Kweli sisi ni wadangayika! Na kwa nini serikali hautaki kutumia Coroner's Act ambayo ipo katika kuchunguza vifo hivi vya utata, uchunguzi ambau hufanyika kimahakama, kwa uwazi zaidi/ Serikali inaogopa nini kama siyo kuwalinda tu mapolisi wauwaji na watesaji wakubwa wa raia?
Mods: Nakuomba usiitoe hii hapa kwani ni topic yenye uzito wa kipekee.