SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Na aliyempiga na hicho kitu kizito katumwa na Nape ili kuichafua Chdema
Kuna siku yataisha yote hayo, kuna siku. tatizo udanganyika wetu ndiyo unatuumiza.
Wanaficha siri, bila shaka iligundulika alipigwa risasi na polisi. Kwani polisi wanakataa nini? si kawaida yao kuuwa, kwani wakikubali hili kutaleta badiliko lolote katika tabia myao hiyo?