TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Ukweli anao mungu. Mungu hafichi kitu. Ipo siku itajulikana tu. Ee mola mrehem ally mpumzishe kwa aman. Damu yake imetumika na uonyeshe ukweli kwa kutumia damu yake. Amin.
Kama police huwa wanaingia nyumba za ibada basi wanamudhihaki Mungu.waoneshe hicho kifaa haraka.nyooooooo police.