Wliofanya uchunguzi huo walitoka Dar
chini ya CHAGONJA????
Wliofanya uchunguzi huo walitoka Dar
Wameua wao, wamechunguza wao na wanatoa ripoti wao! Tafakari!
Mimi nilisikia alipigwa na mto wa kulalia.Kapigwa nondo huyo.
ze comedy
ngumu kumeza
Propaganda za aina hii walifanya ujerumani mashariki,Poland,China na urusi na bado wakaanguka mwambie Amri jeshi mkuu na IGP vitendo wanavyovifanya vinawashushia hadhi mno na kudharaulika mbele ya uso wa wananchi aibuu kwa jeshi zima la polisiniwazi kabisa vijana wa chadema ndo walio muua kijana ally muislam mwenzetu.hii ni mara ya pili kwa muislam kufa ktk maandamano ya cdm. Cdm imehusika iwaeleze wananchi
Old melody you cant convince us kiufupi hatuna jeshi la polisi wamepoteza uhalali wa kuaminika ndio maana wananchi wanawapuuza kwa kiasi cha hali ya juu no wonder wanaopelekwa polisi ni division zeroitakua CHADEMA ndio wamemuua ili ku propagate mambo na kujitangaza zaid ili ionekane kua eti na waislam pia wako tayari kufa kwa ajili ya chadem na kanisa na wachaga.
Inasikitisha kuona chadema wako tayari kuwaua watanzania kwa sababu kama hizi. Nawaonya waislam wasijaribu kukaribia mikutano ya chadema.
Chadema wanapenda sana kutumia staili ya mauaji kwa mfano chachawangwe, mgombea mwenza wa urais, wakala wa chadema igunga, na huyo wa morogoro.
Wameua wao, wamechunguza wao na wanatoa ripoti wao! Tafakari!
Aisee!
nna wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri.....itakua CHADEMA ndio wamemuua ili ku propagate mambo na kujitangaza zaid ili ionekane kua eti na waislam pia wako tayari kufa kwa ajili ya chadem na kanisa na wachaga.
Inasikitisha kuona chadema wako tayari kuwaua watanzania kwa sababu kama hizi. Nawaonya waislam wasijaribu kukaribia mikutano ya chadema.
Chadema wanapenda sana kutumia staili ya mauaji kwa mfano chachawangwe, mgombea mwenza wa urais, wakala wa chadema igunga, na huyo wa morogoro.