Polisi Kuvamiwa Baa ya Boardroom Sinza ni kielelezo kingine cha ubumunda wa baadhi ya askari polisi

Inadaiwa hapa ni Sinza polisi waliingia Bar inaitwa Boardrom wakatishia wateja kwa bunduki kisha wakampiga risasi mlinzi. I tell you Rais Samia kuna siku hasira zitafumuka raia wataangusha serikali yako kutokana na uonevu polisi ambao kila uchwao wanalalamikiwa na huchukui hatua. Mark my words.

Inadaiwa polisi hao walikuwa wakiwatafuta wanawake wanaojiuza. Swali la msingi kabisa tangu lini wanawake wanaojiuza wakatafutwa kwa bunduki? Yani kwamba tuna jeshi la polisi ambalo linapambana na nyege kwa kutumia bunduki? Seriously? Kila siku nasisitiza kuwa jeshi hili la polisi limeharibiwa mfumo mzima kuanzia sifa za wanaoajiriwa, mafunzo na weledi.

Leo askari polisi wanaotegemea mishahara inayotokana na bia wanavamia bar na bunduki kutisha walipakodi wanaowawezesha wao kulipwa mishahara? Ni ubumunda kiasi gani?

Binafsi napendekkeza ifuatavyo:

1. Askari hawa wachukuliwe hatua kali mara moja zikiwemo za nidhamu na kufikishwa mahakamani.

2. Napendekeza maboresho ndani ya jeshi la polisi kuanzia sifa za wanaoajiriwa kwamba angarau wawe na cheti chochote cha sheria ili kuwasaidia katika uelewa mpana wa sheria.

3. Kwamba mitaala ya mafunzo pia iangaliwe upya. Hatuwezi kuwa na mafunzo ya kutumia zaidi bunduki na maguvu hata sehemu ambazo hazitakiwi nguvu au bunduki. Vifaa vya kisasa na mafunzo ya kisasa yanahitajika zaidi kuliko bunduki na miguvu.

4. Wahitimu wa chuo cha polisi wafanye mitihani ambayo 80% iwe inahusu uelewa wa sheria. Utungaji wa mitihani hiyo ihusishwe ofisi ya DPP , Chama cha wanasheria TLS na wakufunzi wa polisi. Atakayefaulu ndio aajiriwe.

Tofauti na hapo tutaendelea kulia na kulalamika ndugu zetu wakifia mikononi mwa polisi.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Wsisiharamu wakishika nchi unafiki unazidi hapo utamkuta muisiharamu ndiyo katoa amri ya kutafuta machangudoa wakati huyo muisiharamu mama yake mzazi na dada zake pia ni makahaba mtaani
 
Wsisiharamu wakishika nchi unafiki unazidi hapo utamkuta muisiharamu ndiyo katoa amri ya kutafuta machangudoa wakati huyo muisiharamu mama yake mzazi na dada zake pia ni makahaba mtaani
Ww mthenge una chuki na udini sshoga ww
 
Inadaiwa hapa ni Sinza polisi waliingia Bar inaitwa Boardrom wakatishia wateja kwa bunduki kisha wakampiga risasi mlinzi. I tell you Rais Samia kuna siku hasira zitafumuka raia wataangusha serikali yako kutokana na uonevu polisi ambao kila uchwao wanalalamikiwa na huchukui hatua. Mark my words.

Inadaiwa polisi hao walikuwa wakiwatafuta wanawake wanaojiuza. Swali la msingi kabisa tangu lini wanawake wanaojiuza wakatafutwa kwa bunduki? Yani kwamba tuna jeshi la polisi ambalo linapambana na nyege kwa kutumia bunduki? Seriously? Kila siku nasisitiza kuwa jeshi hili la polisi limeharibiwa mfumo mzima kuanzia sifa za wanaoajiriwa, mafunzo na weledi.

Leo askari polisi wanaotegemea mishahara inayotokana na bia wanavamia bar na bunduki kutisha walipakodi wanaowawezesha wao kulipwa mishahara? Ni ubumunda kiasi gani?

Binafsi napendekkeza ifuatavyo:

1. Askari hawa wachukuliwe hatua kali mara moja zikiwemo za nidhamu na kufikishwa mahakamani.

2. Napendekeza maboresho ndani ya jeshi la polisi kuanzia sifa za wanaoajiriwa kwamba angarau wawe na cheti chochote cha sheria ili kuwasaidia katika uelewa mpana wa sheria.

3. Kwamba mitaala ya mafunzo pia iangaliwe upya. Hatuwezi kuwa na mafunzo ya kutumia zaidi bunduki na maguvu hata sehemu ambazo hazitakiwi nguvu au bunduki. Vifaa vya kisasa na mafunzo ya kisasa yanahitajika zaidi kuliko bunduki na miguvu.

4. Wahitimu wa chuo cha polisi wafanye mitihani ambayo 80% iwe inahusu uelewa wa sheria. Utungaji wa mitihani hiyo ihusishwe ofisi ya DPP , Chama cha wanasheria TLS na wakufunzi wa polisi. Atakayefaulu ndio aajiriwe.

Tofauti na hapo tutaendelea kulia na kulalamika ndugu zetu wakifia mikononi mwa polisi.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Yote kwa yote, tukubali tu kwamba kuna tatizo kubwa sana ndani ya Jeshi la Polisi la Tz, suluhisho pekee lililobaki ni kulivunja kabisa Jeshi hilo na kisha kuandàa utaratibu mwingine mpya ulio mzuri zaidi wa kuunda tena upya Jeshi hilo.
 
Unamshauri nani?
Acheni vichekesho bwana,Wewe mleta mada una tatizo la kuamini unachokifanya na kufikiria wewe ni sahihi lakini wakifanya wengine unaita makosa ya jeshi la polisi

Wakati ule warioba anakusanya maoni ya katiba ulikuwa na miaka mingapi?Yawezekana hujui kuna watu walikimbia bungeni

Waulize vizuri Boss zako ,Kuwa maoni ya jeshi la polisi hawayakuongea kwa jaji warioba?

Je baada ya mpira kuwekwa kwapani walirudisha pesa za wananchi?

You can not beat a drum by one finger

Hizo kelele zako watu walishapiga na pesa walipata bungeni na katiba hawakuandika zaidi ya kulaluana kuhusu tuwe na serikali ngapi?

Kundi la serikali tatu ndio la mabosi wako wakakimbia,Kundi la serikali mbili ndio hilo linaendesha nchi
Mbona kama uko nje ya mada kabisa?

Si linajadiliwa tukio la polisi kuvamia bar huko Sinza wakidai wanawatafuta kinadada wanautafuta wanaume kuwauzia ngono?

Hivi hao kina dada unaweza kuwatafuta hivyo tena kwa mtutu wa bunduki tena ndani ya bar watu wakila starehe zao?

Na tangu lini mtu anayefanya ngono mwenyewe kwa hiari yake, kwa namna yoyote, kwa makubaliano yoyote na kwa staili yoyote likawa ni kosa la jinai polisi kiasi cha kuhangaika nalo?


Unasemaje kuhusu kitendo hiki cha polisi? Wako sawa? Kwanini wapige mtu risasi?
 
Kwa hiyo tatizo SIO Katiba Tena!!!
Mdude na wanasiasa wengine uchwara hawajajua tatizo la nchi hii na nchi nyingine Afrika.
Hakuna ustarabu Duniani uliofikiwa Kwa kuwa na watu wasiofuata Sheria.
Tanzania watu wengi ni wahalifu kuanzia juu mpaka chini.
Miaka ya 1980 mpaka 2010 palikua na Wizi mkubwa sana Wa mitihani mashuleni mpaka vyuoni. Palikua na Wizi mkubwa na kufoji vyeti mpaka vya udaktari na unesi na ualimu.
Udanganyifu ulikua ni mkubwa sana kwenye Kila eneo.
Palikua na matukio makubwa sana ya ujambazi Kwa miji ya Mwanza,DSM ,Mbeya ,Kagera ,kigoma, Arusha na Kilimanjaro.
Tangu kuasisiwa Kwa Chama cha Mapinduzi pamekua na udanganyifu mkubwa kwenye kupata viongozi wa nje hii. Huu nao ni uhalifu Wa kisiasa. Tangu kuanza Kwa mfumo Wa Vyama vingi pamekua na Wizi mkubwa na rushwa kwenye uchaguzi. Huo nao ni uhalifu Wa kisiasa. Wakurugenzi hawafuati Sheria za uchaguzi n.k.
Viongozi wanaweka Sheria za kutoshtakiwa wanapofanya makosa . Yote haya ni kukwepa kufuata Sheria.

Mfumo Wa kihalifu unaotokana na wahalifu umedumu Kwa Miaka mingi.
Kwa Miaka mingi Watu walijihalalishia utajiri Wa kijambazi.
Mfano Palikua na biashara kubwa sana ya madawa ya Kulevya kwenye majumba ya starehe ikiwemo Kasino maarufu ya Bilcanasi iliyokuwa inamilikiwa na kigogo mmoja Wa chama cha siasa.

Kwa ujumla watanzania na waafrika wengi ni watu wasiopenda kufuata Sheria . Ndio Maana watawala wengi hawataki Katiba zinazowabana na kuwawajibisa wanapokiuka Sheria.
Hata ndani ya Vyama Vya siasa wenyeviti Wa Vyama Vya siasa ni miungu watu ndani ya Vyama vyao. Wanaweka Katiba zinazoondoa ukomo Wa uongozi. Lengo ni kulinda maslahi Yao ndani ya Vyama . Kila mtu ni mvunja Sheria au asiyetaka Sheria imbane . Kila mtu anapenda kumuona mwenzake akifuata Sheria lakini sio yeye.
Na mbaya zaidí wanasheria wateja wao ni wahalifu.
Ndio Maana wahalifu wanatetewa zaidi kuliko wahanga Wa uhalifu .
WANATOKEA Panya Rodi wanaobaka Watu , wanakata Watu mapanga ,wanaibia Watu Halafu wakiwahiwa na Wananchi wema na kuuawa kihalali kutokana na uhalifu wao Wa wazi basi utasikia Kelele kutoka Kwa majopo ya wanasheria na wale watetezi Wa wahalifu walikua wamekaa kimya wakati Wananchi wema wakisubuliwa na wahalifu. Hapo ni kuwa wanasheria wanatetea wateja wao na sio Amani ya nchi Wala utulivu utakaowafanya Watu Wema wafanye kazi zao halali na kufuata Sheria.
Hili ni tatizo pia .

Kwa Hali Hiyo polisi ambao ni wapokea amri tu nao wanajikuta walifanya KAZI bila kufauata Sheria. Kama Sheria unasema baa ifungwe Saá sita usiku Kwa nini wamiliki wasifunge muda huo Kama Sheria inavyotaka?
Kama Sheria inakataza makundi ya watu kuzurura mitaana baada ya Saá saba Usiku au Saá tisa bila kuwa na Kazi au shughuli maalumu Kwa nini watu wasirejee majumbani mwao kama hawana Kazi maalumu Kama vile kuchoma chipsi au kushusha kizigo kule Buguruni na kariakoo. ?

Inaonekana kuna tatizo la Msingi linalotokana na kuwepo Kwa Sheria Kandamizi zinazotokana na Wabunge au madiwani amabao ni Wanasiasa. Polisi ni zao la Katiba mbovu.
Polisi ni zao la chama kinachoingia madarakani Kwa rushwa na Wizi Wa kura.
Polisi ni zao la Jamii isiyopenda kufuata Sheria.
Jamii inayopenda kuona wengine wakifuata Sheria lakini sio wao.
Watu wanataka mitaani mwao kusiwa na Kelele za mabaa lakini wanashabikia walevi Kwa kigezo Cha kuwa wanalipa Kodi. Hawataki kujiuliza Je ,Kodi zao zinaendana na leseni za biashara Zao !?

Kuondokana na Sheria mbovu na utendaji Wa Jeshi la Polisi Wa hovyo ni Lazima pawe na Katiba Mpya inayolinda Haki za wale wanasimamia Sheria Kwa maslahi ya Jamii Nzima na Sio maslahi ya MTU mmoja au kikundi Cha watu.

Hivi Kwa Mfano Polisi Wa Cheo kidogo Hata angekua profesa anawezaje kukiuka amri inayotokewa na basi wake ámbaye kimsingi Naye amewekwa au kuteuliwa na mwanasiasa mmoja ámbaye anaweza akalala na kuamka asubuhi na kutengua au kumtoa kwenye nafasi aliyompa Kwa sekunde bila kuulizwa.
Kama Polisi inatambulika kama Jeshi basi ni Wazi kuwa amri ndiyo itakayofuatwa wakati wote.

Hivi wanajeshi wakati Wa Vita wanawezaje kuhoji uhalali na faida ya Vita Kwa Jamii ! Bila Shaka wakihoji lolote kuhusu amri ya kwenda vitani watahesabiwa kama wasaliti na watapaswa Kupigwa risasi haraka sana .

Kwa hiyo ni jambo la Msingi kuundwa Kwa katiba Mpya na kulifanya Jeshi la Polisi kuwa na idara ya huduma Kwa Wananchi bila kuingiliana na wanasiasa au Teuzi za Wanasiasa na maslahi Yao. Lakini pia Kila Mtanzania ni Lazima afuate Sheria ili Jamii iishi Kwa ustarabu na Amani na utulivu na Kila MTU afanye kazi halali kutokana na Sheria bila kutegemea Huruma .
 
Inadaiwa hapa ni Sinza polisi waliingia Bar inaitwa Boardrom wakatishia wateja kwa bunduki kisha wakampiga risasi mlinzi. I tell you Rais Samia kuna siku hasira zitafumuka raia wataangusha serikali yako kutokana na uonevu polisi ambao kila uchwao wanalalamikiwa na huchukui hatua. Mark my words.

Inadaiwa polisi hao walikuwa wakiwatafuta wanawake wanaojiuza. Swali la msingi kabisa tangu lini wanawake wanaojiuza wakatafutwa kwa bunduki? Yani kwamba tuna jeshi la polisi ambalo linapambana na nyege kwa kutumia bunduki? Seriously? Kila siku nasisitiza kuwa jeshi hili la polisi limeharibiwa mfumo mzima kuanzia sifa za wanaoajiriwa, mafunzo na weledi.

Leo askari polisi wanaotegemea mishahara inayotokana na bia wanavamia bar na bunduki kutisha walipakodi wanaowawezesha wao kulipwa mishahara? Ni ubumunda kiasi gani?

Binafsi napendekkeza ifuatavyo:

1. Askari hawa wachukuliwe hatua kali mara moja zikiwemo za nidhamu na kufikishwa mahakamani.

2. Napendekeza maboresho ndani ya jeshi la polisi kuanzia sifa za wanaoajiriwa kwamba angarau wawe na cheti chochote cha sheria ili kuwasaidia katika uelewa mpana wa sheria.

3. Kwamba mitaala ya mafunzo pia iangaliwe upya. Hatuwezi kuwa na mafunzo ya kutumia zaidi bunduki na maguvu hata sehemu ambazo hazitakiwi nguvu au bunduki. Vifaa vya kisasa na mafunzo ya kisasa yanahitajika zaidi kuliko bunduki na miguvu.

4. Wahitimu wa chuo cha polisi wafanye mitihani ambayo 80% iwe inahusu uelewa wa sheria. Utungaji wa mitihani hiyo ihusishwe ofisi ya DPP , Chama cha wanasheria TLS na wakufunzi wa polisi. Atakayefaulu ndio aajiriwe.

Tofauti na hapo tutaendelea kulia na kulalamika ndugu zetu wakifia mikononi mwa polisi.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Mkuu, hujamkumbuka Mzee wako kule magereza?
 
Inadaiwa hapa ni Sinza polisi waliingia Bar inaitwa Boardrom wakatishia wateja kwa bunduki kisha wakampiga risasi mlinzi. I tell you Rais Samia kuna siku hasira zitafumuka raia wataangusha serikali yako kutokana na uonevu polisi ambao kila uchwao wanalalamikiwa na huchukui hatua. Mark my words.

Inadaiwa polisi hao walikuwa wakiwatafuta wanawake wanaojiuza. Swali la msingi kabisa tangu lini wanawake wanaojiuza wakatafutwa kwa bunduki? Yani kwamba tuna jeshi la polisi ambalo linapambana na nyege kwa kutumia bunduki? Seriously? Kila siku nasisitiza kuwa jeshi hili la polisi limeharibiwa mfumo mzima kuanzia sifa za wanaoajiriwa, mafunzo na weledi.

Leo askari polisi wanaotegemea mishahara inayotokana na bia wanavamia bar na bunduki kutisha walipakodi wanaowawezesha wao kulipwa mishahara? Ni ubumunda kiasi gani?

Binafsi napendekkeza ifuatavyo:

1. Askari hawa wachukuliwe hatua kali mara moja zikiwemo za nidhamu na kufikishwa mahakamani.

2. Napendekeza maboresho ndani ya jeshi la polisi kuanzia sifa za wanaoajiriwa kwamba angarau wawe na cheti chochote cha sheria ili kuwasaidia katika uelewa mpana wa sheria.

3. Kwamba mitaala ya mafunzo pia iangaliwe upya. Hatuwezi kuwa na mafunzo ya kutumia zaidi bunduki na maguvu hata sehemu ambazo hazitakiwi nguvu au bunduki. Vifaa vya kisasa na mafunzo ya kisasa yanahitajika zaidi kuliko bunduki na miguvu.

4. Wahitimu wa chuo cha polisi wafanye mitihani ambayo 80% iwe inahusu uelewa wa sheria. Utungaji wa mitihani hiyo ihusishwe ofisi ya DPP , Chama cha wanasheria TLS na wakufunzi wa polisi. Atakayefaulu ndio aajiriwe.

Tofauti na hapo tutaendelea kulia na kulalamika ndugu zetu wakifia mikononi mwa polisi.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Kuna habari hao polisi wako nguvuni.
 
Inadaiwa hapa ni Sinza polisi waliingia Bar inaitwa Boardrom wakatishia wateja kwa bunduki kisha wakampiga risasi mlinzi. I tell you Rais Samia kuna siku hasira zitafumuka raia wataangusha serikali yako kutokana na uonevu polisi ambao kila uchwao wanalalamikiwa na huchukui hatua. Mark my words.

Inadaiwa polisi hao walikuwa wakiwatafuta wanawake wanaojiuza. Swali la msingi kabisa tangu lini wanawake wanaojiuza wakatafutwa kwa bunduki? Yani kwamba tuna jeshi la polisi ambalo linapambana na nyege kwa kutumia bunduki? Seriously? Kila siku nasisitiza kuwa jeshi hili la polisi limeharibiwa mfumo mzima kuanzia sifa za wanaoajiriwa, mafunzo na weledi.

Leo askari polisi wanaotegemea mishahara inayotokana na bia wanavamia bar na bunduki kutisha walipakodi wanaowawezesha wao kulipwa mishahara? Ni ubumunda kiasi gani?

Binafsi napendekkeza ifuatavyo:

1. Askari hawa wachukuliwe hatua kali mara moja zikiwemo za nidhamu na kufikishwa mahakamani.

2. Napendekeza maboresho ndani ya jeshi la polisi kuanzia sifa za wanaoajiriwa kwamba angarau wawe na cheti chochote cha sheria ili kuwasaidia katika uelewa mpana wa sheria.

3. Kwamba mitaala ya mafunzo pia iangaliwe upya. Hatuwezi kuwa na mafunzo ya kutumia zaidi bunduki na maguvu hata sehemu ambazo hazitakiwi nguvu au bunduki. Vifaa vya kisasa na mafunzo ya kisasa yanahitajika zaidi kuliko bunduki na miguvu.

4. Wahitimu wa chuo cha polisi wafanye mitihani ambayo 80% iwe inahusu uelewa wa sheria. Utungaji wa mitihani hiyo ihusishwe ofisi ya DPP , Chama cha wanasheria TLS na wakufunzi wa polisi. Atakayefaulu ndio aajiriwe.

Tofauti na hapo tutaendelea kulia na kulalamika ndugu zetu wakifia mikononi mwa polisi.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Tatizo analolizungumzia mdude halijui
Tatizo la mdude kujaribu kumwelezea Simba wakati yeye Swala.

Swali la kujiuliza wakiwa na cheti Cha sheria? Ndio tatizo la wanaotumia nguvu kupita kiasi litaisha?

Je, kwa Sasa hawasomi sheria wakiwa mafunzoni?
Kama wanasoma nini kiboreshwe?
Nini kimeenda mrama?

Wabobevu wa sheria pekee ndio wataweza kuwa na weledi kwenye kazi za upolisi?
Vipi taaluma nyingine?

Hili ni tatizo la polisi pekee au ni tatizo la Watanzania wote?

Vipi majeshi mengine yako swafi?
JWTZ na skendo ya vipigo Kawe?
Uhamiaji na mauaji Kigoma?
Zimamoto na ufanyaji wao hafifu wa kazi?
Uhifadhi na mauaji mbugani
Tiss na kupotea watu.

Lakini hawana mazuri Yao?
Kama yapo tusisahau na kupongeza pia
 
Inadaiwa hapa ni Sinza polisi waliingia Bar inaitwa Boardrom wakatishia wateja kwa bunduki kisha wakampiga risasi mlinzi. I tell you Rais Samia kuna siku hasira zitafumuka raia wataangusha serikali yako kutokana na uonevu polisi ambao kila uchwao wanalalamikiwa na huchukui hatua. Mark my words.

Inadaiwa polisi hao walikuwa wakiwatafuta wanawake wanaojiuza. Swali la msingi kabisa tangu lini wanawake wanaojiuza wakatafutwa kwa bunduki? Yani kwamba tuna jeshi la polisi ambalo linapambana na nyege kwa kutumia bunduki? Seriously? Kila siku nasisitiza kuwa jeshi hili la polisi limeharibiwa mfumo mzima kuanzia sifa za wanaoajiriwa, mafunzo na weledi.

Leo askari polisi wanaotegemea mishahara inayotokana na bia wanavamia bar na bunduki kutisha walipakodi wanaowawezesha wao kulipwa mishahara? Ni ubumunda kiasi gani?

Binafsi napendekkeza ifuatavyo:

1. Askari hawa wachukuliwe hatua kali mara moja zikiwemo za nidhamu na kufikishwa mahakamani.

2. Napendekeza maboresho ndani ya jeshi la polisi kuanzia sifa za wanaoajiriwa kwamba angarau wawe na cheti chochote cha sheria ili kuwasaidia katika uelewa mpana wa sheria.

3. Kwamba mitaala ya mafunzo pia iangaliwe upya. Hatuwezi kuwa na mafunzo ya kutumia zaidi bunduki na maguvu hata sehemu ambazo hazitakiwi nguvu au bunduki. Vifaa vya kisasa na mafunzo ya kisasa yanahitajika zaidi kuliko bunduki na miguvu.

4. Wahitimu wa chuo cha polisi wafanye mitihani ambayo 80% iwe inahusu uelewa wa sheria. Utungaji wa mitihani hiyo ihusishwe ofisi ya DPP , Chama cha wanasheria TLS na wakufunzi wa polisi. Atakayefaulu ndio aajiriwe.

Tofauti na hapo tutaendelea kulia na kulalamika ndugu zetu wakifia mikononi mwa polisi.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Tatizo siyo polisi wala nini
Tatizo ni CCM

Get rid of them
 
Hao polisi ni wahalifu tu

Siku zao zilikuwa zinahesabika tu

Na wameyatimba kifala sana

Nawaonea huruma sana wakipelekwa

Huko magereza ,maana wanapataga wakati mgumu kweri kweri

Ova
 
Back
Top Bottom