Polepole: Ukiwa mwadilifu tegemea vikwazo kutoka kwa wahuni

Ndugu yangu sikiza,
Kwanza nimekataa huo unaoita urafiki wa muda na uadui wa muda kwa wanasiasa wetu... maana ukiwaona ni marafiki ujue raia anaibiwa wakiwa maadui ujue mmoja kanyimwa tonge... hii ni HAPANA na ni tabia ya wanasiasa wa Kenya na Tanzania.

Nimeitumia Zambia kwasababu rais wa sasa alikua mpinzani na alifanyiwa madhara lakini fuatilia utawala wake saa hizi ka anamda wa kulipiza kisasi??

Ndio siasa tunayoitaka ku focus kuwatumikia wananchi na si kutafuta ushoga kati wanasiasa.

Sikia ndugu unafahami rais was sasa was Zambia amepigania ukombozi was huko kwa muda gani na watu gani kwa muda wote?

Rais kipenzi wa watu wa Zambia ni muumini kindaki ndaki wa mapambano ya ukombozi na washirika kwa misingi ya agenda si watu.

Ndiyo maana Zambia inapaa bila dalili za kupatilizana maovu kwa misingi ya visasi.
 
Ndio maana anawajua kwahiyo sie wengine tufaidike na kufarakana kwao kwani wanatoleana siri zao!! Polepole was an insider, anaifahamu CCM hivyo lazima tumuamini na hawa wakina Mwabukusi, Slaa, Madeleka na wengine ni lazima wachukue tahadhali ya kujilinda kwa kila hali kwani ccm na serikali yao wana historia ya kuwapoteza wapinzani wao wakiwatumia watu wao wasiojulikana!!
Wote mnaopinga mkataba huu wa bandali kwa niaba ya wananchi wa Tanganyika lazima mjilinde; ccm ni chama cha MAFIA wanaweza hata kuwalisha sumu, lazıma mchukue tahadhali kokote mliko!!

Cc: Baba jayaron
 
Sikia ndugu unafahami rais was sasa was Zambia amepigania ukombozi was huko kwa muda gani na watu gani kwa muda wote?

Rais kipenzi wa watu wa Zambia ni muumini kindaki ndaki wa mapambano ya ukombozi na washirika kwa misingi ya agenda si watu.

Ndiyo maana Zambia inapaa bila dalili za kupatilizana maovu kwa misingi ya visasi.
Ndo tunataka na hawa wahuni (wanasiasa) wamuige Zambia na si kuigana vipofu kwa vipofu
 
Pasi na kupepesa macho dhidi ya wahuni sikia mambo:

View attachment 2685447

"Kama si fitna, zengwe au kurogwa tegemea kujikuta ana kwa ana na wasiojulikana."

Ama kwa hakika wahuni si watu wazuri!

Tumesikia wakitishiwa watu kuuwawa. Uthibitisho kuwa wahuni huupiga mwingi hadi nje ya CCM.

Tunaporumbana nao kuhusu bandari zetu, maneno ya Polepole aka kiroboto, yanaishi:

"Usiku ni kuwa macho sana!"
Yuko sahihi kabisa !!
 
Hichi kizee kilipaswa kusema hayo maneno wakati wa Magufuli, badala yake kikawa kinaruka sarakasi na kukatika muziki Ikulu kwa shangwe. Kwa sasa nacho kimeshikwa pabaya na kubwabwaja tu.
Tunachoangalia zaidi ni ukweli aliousema hata kama wakati mwingine alikuwa anaumezea !!

Wewe kama sio muathirika wa alichokisema sisi wengine yameshatupitia !! Hao wahuni ni watu hatari sana !! Na wala sio uongo !!
 
Pasi na kupepesa macho dhidi ya wahuni sikia mambo:

View attachment 2685447

"Kama si fitna, zengwe au kurogwa tegemea kujikuta ana kwa ana na wasiojulikana."

Ama kwa hakika wahuni si watu wazuri!

Tumesikia wakitishiwa watu kuuwawa. Uthibitisho kuwa wahuni huupiga mwingi hadi nje ya CCM.

Tunaporumbana nao kuhusu bandari zetu, maneno ya Polepole aka kiroboto, yanaishi:

"Usiku ni kuwa macho sana!"
Miaka mingi nimekuwa nikiomba Mungu ajitokeze mtu tena ndani ya Ccm aulezee Umma hichi alicho kitanabahisha Polepole katika uzi huu !!

Karma is real !!
 
Ndo tunataka na hawa wahuni (wanasiasa) wamuige Zambia na si kuigana vipofu kwa vipofu

Walio katika mapambano bIla ya kuangaliana asili bali agenda hawawezi kuwa petty wala kuwa na visasi.

Kina Ruto, Uhuru, Raila, Karua, Wetangula, na wa namna hiyo watatoboa.

Siasa ni sayansi si u ng'ombe.
 
Walio katika mapambano bIla ya kuangaliana asili bali agenda hawawezi kuwa petty wala kuwa na visasi.

Kina Ruto, Uhuru, Raila, Karua, Wetangula, na wa namna hiyo watatoboa.

Siasa ni sayansi si u ng'ombe.
Hao wote uliowataja ni wachumia tumbo we subiri Ruto amkaribishe Raila (shake hand) ndo utaelewa kwamba hao wote ni wahuni tuu
 
Hao wote uliowataja ni wachumia tumbo we subiri Ruto amkaribishe Raila (shake hand) ndo utaelewa kwamba hao wote ni wahuni tuu
Subirini wachumia bongo tokea mbinguni.

Nini kigumu kuelewa ndugu? Cha kudumu agenda si watu.
 
Tofauti yetu na nchi zingine ni kujikita kuwajadili watu badala ya hoja zao.
Tunajadili hoja yake ambayo haitasahaulika.

Humprey Polepole atakumbukwa na Watanzania kwa majivuno yake kwamba viongozi wa CCM mpaka ngazi ya tarafa wanatumia ma Landcruiser V8 na mikonge hardtop.

Nchi ya watu masikini wauza ndizi watembea peku, kiongozi wa CCM, the party of Julius Nyerere, anasifia utajiri wa . viongozi wa chama. Utasemaje umenyooka ?
 
We ndo wale wale utajua mwenyewe bana😤😤

Tatizo Ilimu.

Si nadra elimu kuitwa Ilimu.

Kazi tunayo. Mtanzania ataendelea kulalama hadi kiama ila adui yake mkuu ni yeye mwenyewe.

Hiiiiiiiiiii bagosha!
 
Back
Top Bottom