Njilembera
JF-Expert Member
- May 10, 2008
- 1,496
- 607
I thought jina lake likitajwa ndo itakuwa mwisho wa dunia. Naona bado tunadunda tu. RIP DR pamona na kwamba ni mara yangu ya kwanza kukusikia. :sad:
Aisee Dr Heri Lupembe alikuwa TISS! Makubwa! Alikuwa anafanya nini huko! Naanza kuwa na wasiwasi, with such a calibre of personnel, you would have expected greater things for this country! Poh!
RIP Lupembe!