PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Sasa bahati mbaya wewe umekiquote, wakati unajua ni cha kumvua mtu privacy ya kazi yake...Yo Yo, Du...! Hii kali!.
Humu ndani, umeweka facts and figures as if ni kweli!, kama ni kweli, its not fair ku mu unmask the masked oparatives, utahatarisha sio tuu usalama wa taifa lako, bali pia usalama wake mwenyewe.
Mode: Naomba hiki kipande cha Yoyo kifute haraka kabla hakijaleta madhara.
Nakumbuka mwaka jana, baada ya membe mmoja ku mua un mask FMES IN in black and white na kumuacha mtupu kabisa, kwa kifupi jamaa alifungasha rasmi never to return to jf na makali yake, siku hizi akiibuka ni kyutuma tuu salama that he/she is still alive!
Naomba usitupotezee Mzee Mwakijiji wetu!.
Anza wewe kufuta ili umshawishi kirahisi!
Vinginevyo hata mimi nimekuwa overwhelmed na data hizo!