Pole Mhe. Lowassa Kufiwa na mkweo

Wanabodi,
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mhe. Edward Ngoyai Lowassa (Mb), amefiwa na mzazi mwenzake ambaye ni baba wa mtoto wa kiume aliyemuoa binti wa Mhe. Lowassa.

Kwa vile humu jf tuna kikundi chetu kiitwacho PROEL, nawaombeni tumpe pole zetu Mhe. Lowassa!.

Nawaombeni msiulize majina na wale mnaowajua naombeni msiwataje kwa hii sio thread ya RIP bali pole tuu kwa Mhe. Lowassa kupatwa msiba!.

Pole Mzee wetu Lowassa.

Na kwa vile yeye sio member humu, pole zenu mwageni hapa nami nitamfikishia kwa vile nitahudhuria msiba huu mkubwa kwa familia ya Lowassa!

Hiyo red umejuaje???

Hiyo bluu wewe ukiwa kama nani???
 
While I mourn for Mzee Sumari, I laughed the way this thread has been written. Kaka Pasco naye ana uandishi fulani hivi uko very unique.
Lakini mwishoni ametuomba tumpe pole ENL kwa kufiwa na baba mwezi katika muungano wa watoto wao. Pole Lowasa and RIP Mzee Sumari
 
Habari hii haijakaa vizuri.Mzazi mwnzie ni yule aliyezaa nae mtoto labda nje ya ndoa au kabla hajaoa rasmi. Huyu ni jengee au kivele mwenzie kwa kiswahili cha ndani. kwa nini na pole wasipewe familia ya yule aliyefariki ambaye ni Mkwe wa Mtoto wa Mhe. Lowasa naona karibu wote waliochangia wanatoa pole kwa Lowassa ambaye sio alieguswa sana na msiba huu.Afadhali angepewa pole hata Mtoto wa Lowassa kwa kufiwa na Mkwe wake
 
Pasco bana

Hii misiba inakufanya uonekane kituko sana. Kama rafiki zako hawakwambii elewa hilo. Sasa msiba mkubwa kwa Lowasa kivipi. Na nsiba mdogo kwa lowasa ni upi. Na je akifiwa na mwanawe au mkewe utasemaje. Anywa sio kwamba namuombea mabaya Lowasa lakini wewe jamaa unazidisha....
 
MIMI NAZIPELEKA pole zangu moja kwa moja kwa familia ya marehemu, na si wala kwa EL AU PROEL!
Mungu amweke Marehemu mahala pema peponi.
 
...

Na kwa vile yeye sio member humu, pole zenu mwageni hapa nami nitamfikishia kwa vile nitahudhuria msiba huu mkubwa kwa familia ya Lowassa!
@Pasco
Ebu tuamabie kabla ya kwenda huko monduli kwenye msiba huo mkubwa hapa dar matanga yako wapi tukawape pole familia ya Lowasa.

Yaani hata msiba unatekwa. na hii ni 2012 tu
 
Wanabodi,
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mhe. Edward Ngoyai Lowassa (Mb), amefiwa na mzazi mwenzake ambaye ni baba wa mtoto wa kiume aliyemuoa binti wa Mhe. Lowassa.

Kwa vile humu jf tuna kikundi chetu kiitwacho PROEL, nawaombeni tumpe pole zetu Mhe. Lowassa!.

Nawaombeni msiulize majina na wale mnaowajua naombeni msiwataje kwa hii sio thread ya RIP bali pole tuu kwa Mhe. Lowassa kupatwa msiba!.

Pole Mzee wetu Lowassa.

Na kwa vile yeye sio member humu, pole zenu mwageni hapa nami nitamfikishia kwa vile nitahudhuria msiba huu mkubwa kwa familia ya Lowassa!

Mkuu Pasco,

Wewe ni kati ya wana JF wengi ninao waheshimu sana. Lakini hapa naona umepotoka kidogo. Ni lini Lowassa alistaafu uwaziri mkuu (in red above)? Anyway mfikishie pole zake!!!!!

Tiba
 
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mhe. Edward Ngoyai Lowassa (Mb), amefiwa na mzazi mwenzake ambaye ni baba wa mtoto wa kiume aliyemuoa binti wa Mhe. Lowassa.

Pasco,

Kwakuwa nimeshatoa pole kwa familia ya marehemu Sumari na wapiga kura wake wa Arumeru Mashariki kwenye ile thread mama, hapa sitatoa pole tena.

Langu moja tu katika uzi huu, Edward Lowasa si waziri mkuu mstaafu, ni waziri mkuu aliyelazimika kujiuzulu kufuatia kashfa ya ufisadi wa kampuni fake ya richmond.

Hata kama ProEL na chama chake cha magamba mtaendelea kumtambua kama mstafu, mfahamu kwamba sisi wengine tunafahamu ukweli na kuusema bila kumung;unya maneno, Lowasa si mstaafu bali alijiuzulu!!
 
Mheshimiwa Sumari alikuwa mgonjwa kabla ya kampeni za mwaka 2010 na ilijulikana wazi kabisa pasipo shaka yoyote asingemaliza kipindi chake cha miaka mitano.Nilitegemea Mheshimiwa Sumari angestaafu siasa ili apate muda wa kupambana na ugonjwa wake lakini kwa mshangao wa wengi aliingia ulingoni akahakikisha wanaCCM wenzake wenye afya nzuri hawapati nafasi ya kugombea.

Sehemu kubwa ya kampeni zake zilibebwa na Lowassa na makada wa CCM huku nguvu kubwa ya fedha ikichukua mkondo wake.Tangu achaguliwe hakupata nafasi ya kuwakisha wapiga kura wake kwakuwa hali yake iliendelea kuwa mbaya kama ilivyotarajiwa na wengi.Taifa litaingia hasara ya uchaguzi mwingine hali ambayo ingeweza kuepukika kama sheria na kanuni za uchaguzi zingekuwa zinaangalia afya ya mgombea kama wafanyiwavyo wafanyakazi wanao omba ajira sehemu mbali mbali.

Nawapa pole familia,ndugu jamaa na marafiki wa Mheshimiwa Sumari.
 
Wanabodi,
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mhe. Edward Ngoyai Lowassa (Mb), !

Umesahau kukamilisha utambulisho wake....Rais mtarajiwa wa JMT..!

Kazi uliyopewa na EL ni kubwa Pasco!!
 
mkuu pasco tafadhali sana acha matumizi mabaya ya jukwaa . Kama huyo boss wako aliyefiwa na mzazi mwenziye wala huyo aliyekufa siyo member hapa hawastaili kunufaika kwa namna yoyote na jukwaa hili. Jukwaa hili ni kwa ajili ya wanachama na kulitumia vinginevyo ni ufisadi kama ufisadi mwingine - huo ni mtazamo wangu kama member.

asante mkuu kwa kumjibu vizuri!
 
Wanabodi,
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mhe. Edward Ngoyai Lowassa (Mb), amefiwa na mzazi mwenzake ambaye ni baba wa mtoto wa kiume aliyemuoa binti wa Mhe. Lowassa.

Kwa vile humu jf tuna kikundi chetu kiitwacho PROEL, nawaombeni tumpe pole zetu Mhe. Lowassa!.

Nawaombeni msiulize majina na wale mnaowajua naombeni msiwataje kwa hii sio thread ya RIP bali pole tuu kwa Mhe. Lowassa kupatwa msiba!.

Pole Mzee wetu Lowassa.

Na kwa vile yeye sio member humu, pole zenu mwageni hapa nami nitamfikishia kwa vile nitahudhuria msiba huu mkubwa kwa familia ya Lowassa!

watanzania tuna ufinyu mkubwa sana wa mawazo, kama tunawaza kumpa urais mtu ambaye intergrity yake ni questionable basi sijui mungu mnataka asaidie nini, make akili kawapa laikin hamzitumii!huu ni ujinga wa wachache na wanaofaidi na bila kujua ujinga unapenya hadi kwa wengi!tuwe makini sana na hili hasa kwa mtu kama huyu ambaye anadiriki kuhonga kila mtu kuanzia ngazi ya dini, je lengo lake ni nini, yapi ambayo anataka kuyafanya kwa watanzania???jiulizeni sana swali hili na ikumbukwe ngazi ya juu kiserikali kaanza mwaka 1989 mkurugence aicc, alikaa mwaka mmoja tu, kilichomtoa sijui!sasa endelea na ushabiki wenu wa kipuuzi kwa ubinafsi na ukosefu wa uzalendo wenu.
 
Mheshimiwa Sumari alikuwa mgonjwa kabla ya kampeni za mwaka 2010 na ilijulikana wazi kabisa pasipo shaka yoyote asingemaliza kipindi chake cha miaka mitano.Nilitegemea Mheshimiwa Sumari angestaafu siasa ili apate muda wa kupambana na ugonjwa wake lakini kwa mshangao wa wengi aliingia ulingoni akahakikisha wanaCCM wenzake wenye afya nzuri hawapati nafasi ya kugombea.
Sehemu kubwa ya kampeni zake zilibebwa na Lowassa na makada wa CCM huku nguvu kubwa ya fedha ikichukua mkondo wake.Tangu achaguliwe hakupata nafasi ya kuwakisha wapiga kura wake kwakuwa hali yake iliendelea kuwa mbaya kama ilivyotarajiwa na wengi.Taifa litaingia hasara ya uchaguzi mwingine hali ambayo ingeweza kuepukika kama sheria na kanuni za uchaguzi zingekuwa zinaangalia afya ya mgombea kama wafanyiwavyo wafanyakazi wanao omba ajira sehemu mbali mbali.

Nawapa pole familia,ndugu jamaa na marafiki wa Mheshimiwa Sumari.
huyu ndo yule mwenye majibu ya hovyo hovyo !?
 
ah ha ha ha...King'asti umelegeza mbavu....Wifi kumbe hata kwa wanaume....BTW Pole kwa Msiba Mh. Lowassa
Hjivi kwa kiingereza huyo marehemu ni cousin wake Lowasa ama ni wifi yake kwa kiswahili? Naomba kujuzwa.
 
Back
Top Bottom