Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 949
- 1,683
Kama ambavyo tulielezwa hapo awali
Kuwa Waziri mkuu mstaafu Edward Ngoyai Lowassa angezikwa kimila kwa mujibu wa kabila la Kimasai.
Ambapo angepakwa mafuta ya kondoo kisha wajukuu na watoto nao kupakwa na Mwisho mwili wake kuzikwa ukiwa umekalishwa kwenye Kigoda hali hiyo imekuwa tofauti!
Lowassa ambaye ni Kiongozi (Laigwanani) wa jamii hiyo aliwaunganisha jamii ya kimaasai kwa upande wa Afrika Mashariki mpaka Ethiopia kutambuana na kushirikiana katika maswala ya maendeleo.
Jambo hilo limeshindikana kuzikwa kimila na Malaigawanani
ambao wameweka kambi kijijini Ngarash toka juzi wakiongozwa na Laigwanani wa Tanzania Izack Ole Kisongo Meijo.
Baada ya mbele ya kaburi la Lowassa akiongozana na malaigwanani wengine walimfanyia ibada ya maombi tu kwa lugha ya Kabila la kimaasai na kutamka familia imeomba waheshimu Imani ya Laigwanani Lowassa ya Kilutheri.
Na hivyo hawatapaka mafuta.
Ole Kisongo ni Laigwanani wa jamii ya Kimasai ambae makazi yake yako Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha.
Kuwa Waziri mkuu mstaafu Edward Ngoyai Lowassa angezikwa kimila kwa mujibu wa kabila la Kimasai.
Ambapo angepakwa mafuta ya kondoo kisha wajukuu na watoto nao kupakwa na Mwisho mwili wake kuzikwa ukiwa umekalishwa kwenye Kigoda hali hiyo imekuwa tofauti!
Lowassa ambaye ni Kiongozi (Laigwanani) wa jamii hiyo aliwaunganisha jamii ya kimaasai kwa upande wa Afrika Mashariki mpaka Ethiopia kutambuana na kushirikiana katika maswala ya maendeleo.
Jambo hilo limeshindikana kuzikwa kimila na Malaigawanani
ambao wameweka kambi kijijini Ngarash toka juzi wakiongozwa na Laigwanani wa Tanzania Izack Ole Kisongo Meijo.
Baada ya mbele ya kaburi la Lowassa akiongozana na malaigwanani wengine walimfanyia ibada ya maombi tu kwa lugha ya Kabila la kimaasai na kutamka familia imeomba waheshimu Imani ya Laigwanani Lowassa ya Kilutheri.
Na hivyo hawatapaka mafuta.
Ole Kisongo ni Laigwanani wa jamii ya Kimasai ambae makazi yake yako Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha.