engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Mh E.Lowasa kafiwa na mdogo wake Lonard Lowasa,kifo kimetokea ktk Hospital ya AICC Arusha na mazishi yatafanyika kijijini kwao Ngarashi Monduri Jpili ya Tareh 25/12 saa nane mchana
mungu ailaze Roho ya Ronald Mahali pema amin
Bwana ametoa na pia ametwaa jina la bwana liabudiwe
Pole Mh EL mungu akupe nguvu ktk wakati huu mgumu
mungu ailaze Roho ya Ronald Mahali pema amin
Bwana ametoa na pia ametwaa jina la bwana liabudiwe
Pole Mh EL mungu akupe nguvu ktk wakati huu mgumu