Iteitei Lya Kitee
JF-Expert Member
- Jan 2, 2008
- 586
- 46
Brethren,
Hapa no doubt mume atakua na affairs nje!!
Dalili za affairs ni mojawapo hiyo ya ufinyu wa idadi ya tendo la ndoa na pia usiri kwa kila akifanyacho kama kwenye simu,akaunti etc.
Mke achunguze kwa ukaribu,kumbuka ANA HAKI YA KUCHUNGUZA NA KUJUA kwani ni MUMEWE
Hapa no doubt mume atakua na affairs nje!!
Dalili za affairs ni mojawapo hiyo ya ufinyu wa idadi ya tendo la ndoa na pia usiri kwa kila akifanyacho kama kwenye simu,akaunti etc.
Mke achunguze kwa ukaribu,kumbuka ANA HAKI YA KUCHUNGUZA NA KUJUA kwani ni MUMEWE