rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
wakuu wa Arusha/Moshi ningependa kuwafahamisha kuwa nafikiria kufungua ofisi mojawapo ya miji hiyo,mimi ni mchaga lakini nimeishi nje ya hiyo miji kwa muda mrefu sana,
naombeni info kuhusu hali halisi ya kibiashara hapo,taarifa nilizo nazo ni kuwa wakenya ndo wamekamata maofisi mengi huko,ninategemea kuendesha biashara i ict,je biashara hiyo ikoje huko??je yawezekana???
naombeni info kuhusu hali halisi ya kibiashara hapo,taarifa nilizo nazo ni kuwa wakenya ndo wamekamata maofisi mengi huko,ninategemea kuendesha biashara i ict,je biashara hiyo ikoje huko??je yawezekana???