bro na maana hata kwa picha tu . Jinsi watu hususan sis vjana tunavyofeki life..Kwahiyo unataka kusemaje 😃😃😃
Kwamba tunafake tunapambana kumbe nyuma yetu kuna maankoli sio🤣🤣bro na maana hata kwa picha tu . Jinsi watu hususan sis vjana tunavyofeki life..
Aisee nimeona😂😂,, hapo hujaangalia status zake WhatsApp sasa unaweza ukasema kweli huyu ni super woman,, kumbe hakuna lolote 🤣🤣🤣🤣🙌Ushaona ahahahahhaha.... mara range, mara swimming pool, mara pizza, daah hongereni haahh
wanakeraga kweli watu wa hivyo...sijui dawa yao nini 😂😂Kama ww ni mwanaume ukafikiria hvo🤔🤔🤔🤔
Ntakuja kuandika vzr ngoja niishie hapa maana hz dala dala mi natype watu wanaangalia 🤣
🤣🤣
Hawana hata mda wa kujitangaza yani masuperwoman...ila hawa wengine sasa😂😂Mambo mengi kweli alfu ma superwoman halisi wametulia zao kimya
Kila muda vinajipiga picha kila kona vinajibenua utasikia "big boss lady" utafifkiri hata anamiliki hata duka la mangiSasa hivi wameshagundua, wengi wakifika hizo location anapiga picha mwenyewe ama na girls wenzake, sponsors hawapigwi.
Hence kama ana badilisha daily, ama ni 23 anaetembea na wababu, hutakaa uelewe
Kwamba tunafake tunapambana kumbe nyuma yetu kuna maankoli sio🤣🤣
.Pisi kali ni kupiga na kusepa tu
bro na maana hata kwa picha tu . Jinsi watu hususan sis vjana tunavyofeki life..
mostly ndio hvyo.Japo ladies kujiita pisi kali naona tu ni jina la kikuwadi sana.Kwamba tunafake tunapambana kumbe nyuma yetu kuna maankoli sio🤣🤣
Me hua wananikera sana...utaona status mtu yuko mahali ambapo kwa harakaharaka ukipiga hesabu anaspend sio chini ya laki na macaption kama yote mara mwanamke mpambanaji sijui nini nini...halafu asubuhi yake anakupigia simu shosti mwenzio nataka nitolewe vitu nje nichangie pango basi 😂😂😂,,, yani hua naishiaga tu kucheka kwa sauti hadi anakata simu🤣🤣🤣Kila muda vinajipiga picha kila kona vinajibenua utasikia "big boss lady" utafifkiri hata anamiliki hata duka la mangi