Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,309
- 4,017
Sidhani kama kuna mwana JF alishawahi kupita mitandaoni na kukosa kuona picha za hawa mabinti. Hata kama nia yako sio ku-search mabinti mitandaoni utashangaa unaona picha zao na mara nyingi zikitumika na profile tofauti tofauti na wapigaji wa mitandaoni.
sijui nini reason behind ya hawa mabinti picha zao kutumika sana na kuwa katika mzunguko. Urembo sana, ni kweli wanatoa huduma ndio maana wako trending, etc
Anyway life goes on.
sijui nini reason behind ya hawa mabinti picha zao kutumika sana na kuwa katika mzunguko. Urembo sana, ni kweli wanatoa huduma ndio maana wako trending, etc
Anyway life goes on.