Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,899
Kuna kigogo anayehusika na kuyumbisha nchi, hawa ni matawi tu. Sitegemei katika familia mtoto afanye kitu kinyume cha matakwa ya mkuu wa kaya. Yaliyompata Edward Lowasa ndiyo yanayowapata hawa sasa hivi. Kama Lowasa aliharibu nchi, je baada ya kuachia ngazi nini kinaendelea? Mbona mbaya zaidi kuliko wakati wa Lowasa katika ufujaji wa mali ya umma na usimamizi duni kabisa katika shughuli za serikali na mali ya umma?