Pinda, Muungano, na Hatima ya Zanzibar

Hivi wazanzibari mnasubiri nini kujitoa kwenye Muungano,kwasababu ninavyoona mimi wazanzibari wote hamuutaki muungano sasa kwanini msiseme jamani eenh sasa siye basi tunawaachia Tanganyika yenu na sisi tunabaki kama sisi.

Siku mkijiondoa kwenye Muungano huu,nafikiri mimi nitakuwa wa kwanza kufanya sherehe! Naona kero tu na huu muungano choko choko nyingi zisizo na faida wala nini kwa Taifa letu.

Kwa maneno ya Pinda nahisi hata Kikwete ameshachoka na hizi vurugu sema anasubiri tu Karume aje amwambie siye tunataka tubaki peke yetu amwambie SAWA. au kama Karume anaogopa kusema mwambieni hata amtume msema hovyo Ali Juma Shamhuna aje aseme kama hawataki muungano.

Zanzibar tunawambembeleza kama sijui kitu gani,mimi nafikiri ni muda muafaka to call it quit.
 
Gavana,
Tumekusikia, swali langu dogo tu kwako na wanaharakati wote wa Zanzibar. Kwenye balaza la wawakilishi si wote mliungana na kushangilia kauri ya SMZ na wajumbe, sasa mmejibiwa mbona hatusikii mmeondoka Dodoma au mmewaita wabunge wenu warudi Zanzibar? Mnacho subiri ni nini? mfukuzwe kama mbwa? kama wabara hatuna dini na nyinyi ndo wenye dini si basi ondokeni jibu mmepewa peupe hadharani.
Wakati umefika wa Zanzibar mmkue, inasikitisha kama hata serikali yenu haina protocol inaropoka, mkinajibiwa mnafyata mkia.
 
Waandishi mbona wanapotosha uma?
Najua huko juu nimehamaki na kutamka kuwa kabwatuka, kuna ukweli ndio kabwatuka, lakini haya maneno/matamshi ni ya pinda kweli?

:"Si Mjaribu basi"!

Imekaa kama kiroja sasa...

Na mie 'BWATU'
Arghhhh:mad::(
 
Gavana,
Tumekusikia, swali langu dogo tu kwako na wanaharakati wote wa Zanzibar. Kwenye balaza la wawakilishi si wote mliungana na kushangilia kauri ya SMZ na wajumbe, sasa mmejibiwa mbona hatusikii mmeondoka Dodoma au mmewaita wabunge wenu warudi Zanzibar? Mnacho subiri ni nini? mfukuzwe kama mbwa? kama wabara hatuna dini na nyinyi ndo wenye dini si basi ondokeni jibu mmepewa peupe hadharani.
Wakati umefika wa Zanzibar mmkue, inasikitisha kama hata serikali yenu haina protocol inaropoka, mkinajibiwa mnafyata mkia.

Tegemeo hilo usilitegemee kutokana na mtawala Zanzibar ni yuleyule CCM ,sasa jibwa likilia usiku basi jingine linafahamu kama huyo ni jibwa mwenzangu ,ule woga unaondoka na hata kule nako anaweza kutoa mlio ,sasa kishindo kama CUF ikifanikiwa halafu huku Tanganyika mje kusema urojo huu ,siku hiyo ndio mtajua kuwa upande wa pili kuna Simba wa Nyika.
 
Tegemeo hilo usilitegemee kutokana na mtawala Zanzibar ni yuleyule CCM ,sasa jibwa likilia usiku basi jingine linafahamu kama huyo ni jibwa mwenzangu ,ule woga unaondoka na hata kule nako anaweza kutoa mlio ,sasa kishindo kama CUF ikifanikiwa halafu huku Tanganyika mje kusema urojo huu ,siku hiyo ndio mtajua kuwa upande wa pili kuna Simba wa Nyika.



Kare ni ka Mkoa ketu hakuna rorote bwana .semeni tu lakini mkitaka kujaribu jaribuni muone moto
 
Mwiba,
Sidhani mabadiliko yanaweza kuletwa na CUF, kwani kihistoria wanzanzibar ni waonga saana hasa pale mtu anapowatazama machoni huwa mnafyata mkia kama fisi. Tumeona hata huyu Jumbe ambaye wengine wenu humuona shujaa, sasa ukujiuliza kama wabara wabaya kilichofanya ajenge bara ni kuishi hapo ni nini?
Si mmeshangilia kuwa hata kama mafuta ni ujazo wa kikombe basi akinamama wa Zanzibar watajipaka, sasa nasi tunasema nendeni mkajipake, huu ulikuwa wakati wa nyinyi wakereketwa kuwauliza hizo kelele zote walizokuwa wanapiga ziko wapi? Badala ya kusema Pinda anahamaki, yaani mnataka mlelewe tu, kama mnataka sultani arudi sawa kila la kheri.
 
Lunyungu na Mchukia UFISADI...kama huu ndio msimamo wenu juu ya ZNZ basi hata kile Mnachokipigania Bara ni Upuuzi Mtupu...Unaonekana kumtetea Pinda akiwasulubu ZNZ, huku ukimuona Pinda na Timu Mbaya wakiisulubu Chadema....!!!

LKN pia inaonekana Uwezo wenu wa Kufikiri na Kuchambua ni Mdogo sana....I do believe nyinyi wenyewe ELIMU yenu Kiduchu!!!

Pinda Tumsamehe hadi sasa tushajua HAMNA kitu....Kuropoka na Kuja kulia baadae. Nafikiri JK anakazi ya Kupata PM mzuri.

We Chuma shika adabu yako.
Elimu yangu ndogo ndio. Lakini hata hili ambalo hata ambaye hakwenda shule anaweza lishughulikia vema linaitaji elimu yako ya madrasa?
Narudia. Zanzibar ni mkoa tu tena mmoja wa bara. Mabega mmepandisha baada ya sisi kuwafanya nanyi muonekane kama nchi.
Tumewapa favour nyingi hata msizostahili, kuliko kwetu huku bara.
Leo mwajifanya mnavyo vingi wakati hamna kitu.
Nakwambia nyinyi ndio mtapoteza kwanza. Kwa kuanzia siku tukivunja muungano tu, unguja kivyake na Pemba kivyake.
Na hayo mafuta tutayachimba wala hamtakuwa na uwezo wowote wa kutuzuia.
 
Katika vyama vinavyochungulia Ikulu kafu no, hapana hakiwezi kamwe kugusa ikulu ya bara labda huko kwenu zenji.
Eti iko siku kutatokea mfarakano,na kwa maana hiyo watu watagawana mbao ,mimi nakwambieni ikitokea kugawana mbao basi siku ya pili mfunge virago mrudi makwenu,kuna vyama ambavyo hivi sasa vinaichungulia Ikulu kwa hamu kabisa na mate yanawatoka ,kuvunjika kwa Muungano ndio mwanzo wa Vyama hivyo kukenua.
 
CUF ndani ya Tanganyika je?


Tatizo la ,matatizo ya Tanzania sio CUF ,kama wewe unaona CUF ni Chama cha WaPemba au Waunguja,sina ubavu wa kukulazimisha usione hivyo ni wewe na akili yako kutokana na ufahamu ulionao. Kuna watu wanamaliza darasa la saba hawajui kuandika wala kusoma sasa inawezekana wengine wakamaliza kusoma wakawa wanajua kuandika na kusoma lakini hawafahamu ,si ajabu wewe ukawa mmoja wao.

CUF ni Chama Cha Siasa ,kama vilivyo vyama vingine na kwa idadi ya wanachama CUF ina wanachama wengi zaidi upande wa Tanganyika kuliko Zanzibar yote na vile vile ukifuatilia chaguzi kuu za Tanzania zote kama sikosei kura za CUF zilikuwa ni za pili.Hivyo usikae na kuzuka tu ukiandika bila ya kuona kule unakotoka ni wapi na kuna nini.

Wala usitegemee kuwa Muungano ukivunjika basi WaZanzibari watarudishwa kwao hilo haliwezi kufanyika kwa dunia ya leo na hata likitokea ,watakaofanya hivyo ni vibaka tu ,na sio serikali itakayokuwepo ,na pia litafanyika ikiwa bado serikali ya CCM haijataka kuachia madaraka ya Nchi.

Pinda amepindisha kwa sababu kuna mambo na hoja kibao ambazo zinamkabili yeye na serikali yake hadi leo hajazipatia ufumbuzi ,anahangaika nazo akienda huku akirudi ,hana jawabu zaidi ya kuwaambia wananchi kuwa mambo ni makubwa na yatahatarisha amani ya Nchi na zaidi hawana ubavu nayo ,kumbuka mambo ya mafisadi mambo ya madawa ya kulevya ,kauli walizozitoa ni za kukatisha tamaa kwa serikali ambayo wananchi waliweka tamaa ya maisha bora ,leo ni miaka mitani ni wapi kwenye dalili ya kumaliza na kuwafikisha wale wote ambao kila kukicha Raisi Kikwete na wenziwe walisikika wakisema majina tunayo ,sasa ikiwa majina wanayo na wanawajua inakuwaje hadi leo Jemedari Mkuu anashindwa kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria wahusika na badala yake analala na majina ya wadau wa unga na mafisadi ,pale bandarini Raisi alisema listi anayo ,sasa hata pale panamshinda kuchukua hatua kali ?

Hizi ni karata wanazocheza nazo wafuasi wa Sultani CCM ,:-

Mafisadi ,Maalbino ,matajiri wa kuagiza na kusambaza unga ,dini na muungano.

Mambo hayo huwa wanayachezea kwa nyakati tofauti na kuwahamisha wapinzani kutoka walipo ,tatizo vyama vya upinzani vinapoteza msimamo na kujiingiza kichwa kichwa bila ya kuelewa kuwa Sultani CCM anacheza na akili zao na kuwapoteza lengo ,hata ule mori wa wananchi kuwasikiliza wapinzani huwa unapotea.Na utawasikia wananchi wakiguna huku wakisema vyama vyenyewe vya upinzani havisikilizani wala havina msimamo.

Kama ni kuikamata CCM pabaya basi ni kuibana kote huko katika kila penye karata vyama vya upinzani ni lazima viwe na msimamo wa kupingana na CCM na si kuipa mwanya.

Hawa Serikali ya CCM inaongoza nchi kienyeji ,kila mmoja wao ni mbabe kumshinda mwenzake kuanzia huku Tanganyika hadi kule Zanzibar kila mmoja anasema anavyotaka akijua fika hakuna wa kumkataza wala kumuonya na akiteleza atalia na kutoa machozi ya mamba.

Hivi kauli ya vyama vya upinzani inahitajika sana katika mambo hayo hizo karata za CCM hapo juu ,ni muhimu sana kwa wakuu wa vyama vya upinzani mbali ya tofauti zao ni lazima wawe na mambo wanayokubaliana na si vinginevyo ,mambo ambayo yanaitatiza CCM hayo ndio mambo ya kuyatolea msimamo unaoipinga CCM ili uwepo upinzani imara.

Sasa tunataka kusikia msimamo wa Vyama vya upinzani kuhusiana na mambo makuu matatu ,kuhusiana na ufisadi ,kuhusiana na majina kukaliwa na Raisi na hili la kubanwa kwa Zanzibar kutokana na ukandamizaji wa Serikali ya CCM ya Muungano ,ni lazima upatikane msimamo ili kuiweka kona CCM na si vinginevyo.
 
Katika vyama vinavyochungulia Ikulu kafu no, hapana hakiwezi kamwe kugusa ikulu ya bara labda huko kwenu zenji.
Sawa Ikulu ya bara itakamatwa na makanisa ,hilo pia utalikataa au CCM itaendelea kuwadidimiza huku mipita na makaburasha ya mabomu mitaani ,na mwisho yatawalipukia wenyewe ,ccm hata hawana habari.
Zimwi likujualo halikuli likakwisha lakini Zimwi CCM litakula ma kuimaliza Tanganyika.
 
Kinyamana,
Karume unajua vyema kua hataweza kusema lolote, his term is almost over na hataweza kusema lolote dhidi ya mtu aliomuweka madarakani. Second point, hivi kweli wewe humjui ni nani msema ovyo? anaeporoja baadae akaja kulia mbele ya hadhara ya watu wazima (Bungeni). For your information hakuna Mzanzibar anaeangusha kilio baada ya kusema au kutenda, kwani watu hufikiri ndio wakasema\ wakafanya. Sorry won't bring dead man alive.
 
Na wewe uliesema kuwa WaZanzibari watafukuzwa hapo Tanzania nenda katazame mipaka ya Zanzibar hiyo ambayo wazazi wenu walikwiba na kusaidiwa na wazungu ,nenda kabukue uone wazazi wako walitoka wapi ,nenda katazame asili yako wewe ni wapi hata leo ukawa na nguvu ya kufukuza watu,

Wengi wenu walivuka mipaka na kuingia nchi wakitokea katika misitu ya Congo na wengine kutokea South Africa ,nendeni mkasome historia ,ili mjijue maana mnasomeshwa Nyerere ni baba yenu basi ,uliza na ufahamu ni nani mzalendo wa kweli hapa Tanzania.Kisha ndio utoe jeuri.
 
Pinda alijibu hivyo huku akionyesha kukerwa sana na maswali yenye lengo la kuchokonoa muungano. Hebu ona swali lenyewe....Mbunge huyo alieleza kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inazungumzia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kama mwakilishi wa masuala ya nje, lakini vipi Zanzibar isiwe na uwakilishi wake?
Hii ni sawa na kusema unataka Mafia iwe na uwakilishi wake wa kimataifa! Jibu alilowapa Pinda ni sawa kabisa. Kama hawjui ni kwa vipi Zanzibar isiwe na uwakilishi wake...wajaribu waone kama watapata....simple! Upeo mdogo wa ndugu zetu hawa ni taabu kwelikweli! Wabunge darasa la saba na form four unategemea nini?Pathetic!
 
Sawa Ikulu ya bara itakamatwa na makanisa ,hilo pia utalikataa au CCM itaendelea kuwadidimiza huku mipita na makaburasha ya mabomu mitaani ,na mwisho yatawalipukia wenyewe ,ccm hata hawana habari.
Zimwi likujualo halikuli likakwisha lakini Zimwi CCM litakula ma kuimaliza Tanganyika.

Nasubiri kuona Rais Mkristo Zanzibar. Au hakuna wakristo huko? Bara, wakristo na waislam wanaweza kumpigia kura mkristo au muislamu, na akashinda, wakati mwingine kwa asilimia 80.

Tukiacha jazba. Ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya waTanganyika na Wazanzibari hawapendi muungano. Hapa hakuna udini.
 
Wana JF Mh. Pinda ni mtu makini sana, mtegemee kuwa atakuwa rais baada ya JK.
Wazanzibar wanachotaka kufanya ni sawa na Sungura kuomba ngono kwa Tembo.
 
Zanzibar will remain to be part of URT kwa sababu tangu mwaka 1964 sijasikia wazanzibari wakitaka kuvunja muungano kwa kutumia njia rasmi. Wazanzibari wanaihitaji bara kuliko bara inavyoihitaji Zanzibar.
Mwisho, historia ya Tanganyika na Zanzibar inadhihirisha wazi umuhimu wa muungano huo, kwani wengi waliopo sasa hivi visiwani humo ni jamii ya wabara waliohamishwa huko miaka mingi iliyopita.
Mkuu ''Endeleeni Kujishauwa kama anvyo jishauwa Pinda''
Ukiona hivyo wa Zanzibari wamebaini ulahai wa viongozi wenu kama vile wanvyokulahaini nyinyi huku wao wakiwa matajiri wa kusifika, mtaendelea kuwashangili wanapo kupiteni mabarabarani na mashangingi ya bei mbaya , wazanzibari kama walivyo weza kunganisha na uwezo wa kutenganisha kama watataka kufanya hivyo upo ni kama kuzaliwa na kufa.mpo Desperate ni hatari kwa binadamu akifikia hatuwa kama hiyo kwa kitu cha watu.
 
Mkoa? ni WILAYA yenye hadhi ya NCHI

Kuelimisha ndio huku

THE REPUBLIC OF TANGANYIKA AND THE PEOPLES' REPUBLIC OF ZANZIBAR
WHEREAS the Governments of the Republic of Tanganyika and of the Peoples' Republic of Zanzibar being mindful of the long association of the peoples of these lands and of their ties of kinship and amity, and being desirous of furthering that associatio! n and strengthening of these ties and of furthering the unity of African peoples have met and considered the union of the Republic of Tanganyika with the Peoples Republic of Zanzibar
 
Back
Top Bottom